Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 102,676
- 126,848
Poa poasalama mkubwa
Poa poasalama mkubwa
Kwani ni kosa?Wewe utakuwa na HISA kubwa sana CHADEAMA
mama Samia kama ni kazi anafanya kweli kweli
- Mapato ya Wachimbaji madogo yameongezeka mara nne (4) Mwaka 2021/22 chini ya Rais Samia.
- wakati Rais Samia anaingia madarakani wachimbaji wadogo wa madini walichangia 20% tu sawa na TZS 124.6bn kwenye mapato yote yatokanayo na madini yaliyofikia TZS 623bn wakati huo sekta ya madini ilichangia 6.8% kwenye pato la Taifa GDP,
==
- Mwaka 2024/25 mapato yatokanayo na madini yalifikia TZS1.6 Trilioni wakati mchango wa wachimbaji wadogo kwenye mapato yote yatokanayo na madini umefikia 40% sawa na TZS 640bn ikiwa sekta ya madini imechangia kwa 10% kwenye Pato la Taifa GDP.
kamanda kwema?Kwani ni kosa?
Poa mkuukamanda kwema?
Na wapi tena mkuu?mkuu wewe kila sehemu upo???
sema tupo wotekila sehemu wewe upo tu