Utajiri Wachimbaji wadogo ni balaa

Utajiri Wachimbaji wadogo ni balaa

LopoLopo

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2025
Posts
229
Reaction score
135
  • Mapato ya Wachimbaji madogo yameongezeka mara nne (4) Mwaka 2021/22 chini ya Rais Samia.
  • wakati Rais Samia anaingia madarakani wachimbaji wadogo wa madini walichangia 20% tu sawa na TZS 124.6bn kwenye mapato yote yatokanayo na madini yaliyofikia TZS 623bn wakati huo sekta ya madini ilichangia 6.8% kwenye pato la Taifa GDP,

  • Mwaka 2024/25 mapato yatokanayo na madini yalifikia TZS1.6 Trilioni wakati mchango wa wachimbaji wadogo kwenye mapato yote yatokanayo na madini umefikia 40% sawa na TZS 640bn ikiwa sekta ya madini imechangia kwa 10% kwenye Pato la Taifa GDP.
==
 
  • Mapato ya Wachimbaji madogo yameongezeka mara nne (4): Mwaka 2021/22 wakati Rais Samia anaingia madarakani wachimbaji wadogo wa madini walichangia 20% tu sawa na TZS 124.6bn kwenye mapato yote yatokanayo na madini yaliyofikia TZS 623bn wakati huo sekta ya madini ilichangia 6.8% kwenye pato la Taifa GDP, Mwaka 2024/25 mapato yatokanayo na madini yalifikia TZS1.6 Trilioni wakati mchango wa wachimbaji wadogo kwenye mapato yote yatokanayo na madini umefikia 40% sawa na TZS 640bn ikiwa sekta ya madini imechangia kwa 10% kwenye Pato la Taifa GDP.
Ukiona unajiita jina lolote Unconsciously linakuwa lipo kiroho

Unaweza kuangalia jina lako na unachoandika it is sound Crazy.
 
a TZS 640bn ikiwa sekta ya madini imechangia kwa 10% kwenye Pato la Taifa GDP.
Usalama kwenye maeneo hayo ya wachimbaji wadogo upoje...na hali ya matumizi ya madawa ya kulevya ipoje? Ama ni changamoto ndogo zinazotatulika?
 

Attachments

  • images-30.jpg
    images-30.jpg
    10 KB · Views: 22
  • Mapato ya Wachimbaji madogo yameongezeka mara nne (4) Mwaka 2021/22 chini ya Rais Samia.
  • wakati Rais Samia anaingia madarakani wachimbaji wadogo wa madini walichangia 20% tu sawa na TZS 124.6bn kwenye mapato yote yatokanayo na madini yaliyofikia TZS 623bn wakati huo sekta ya madini ilichangia 6.8% kwenye pato la Taifa GDP,

  • Mwaka 2024/25 mapato yatokanayo na madini yalifikia TZS1.6 Trilioni wakati mchango wa wachimbaji wadogo kwenye mapato yote yatokanayo na madini umefikia 40% sawa na TZS 640bn ikiwa sekta ya madini imechangia kwa 10% kwenye Pato la Taifa GDP.
==
mama anatishaaa
 
Nikiona mtu anaandika uzi anasema "nyoko nyoko nyoko chini ya utawala wa mama yetu kipenzi ......." Hapo hapo najua ni utumbo na hakuna la maana nitasoma huko mbeleni.
 
Back
Top Bottom