Utajiri wa kizazi Cha kwanza (First Generation) Huwa mgumu sana

Kwa nini uruhusu ndugu yako akurudishe nyuma? Huo ni upunguani...
 
that is why wanyonge watabaki kuwa wanyonge milele,ukiinuka kidogo unakua nguzo ya ukoo mzima hupati ata nafasi ya kufanya maendeleo zaidi
Inabidi uwe tough kwa ndugu zako. Kwani wao ni nini kimewazuia wasifanikiwe kama wewe? Si wote mmezaliwa katika hali hio hio? Manake wao si wapambanaji kama ww. Mimi nawaambia wapambane tu na hali zao.
 
Hapo mnakosea sana. Mimi binafsi sikusaidiwa na ndugu yeyote tena wakati napambana mishe za kwenda ughaibuni ambako ndio kulinitoa, walikuwa wananiita mwenye ndoto za ramli, mvuta bangi, na aliyechanganyikiwa.
Ila baada ya mafanikio wote wanakuona Hero
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…