Vesper-valens
JF-Expert Member
- Mar 6, 2020
- 5,273
- 7,362
Nawasalimu Kwa Jina la Jamhuri Kazi iendelee
Utajiri wa kizazi Cha kwanza Huwa mgumu mno kwakua ,muhusika anakuwa Hana rasilimali za kumuwezesha kufanikisha mambo yake hvyo bhac ...mtaji pekee alionao ni Akili yake
Tofauti na utajiri wa kurithi ambayo muhusika anakua na jukumu la kuendeleza vile alivovikuta au vile alivyo achiwa
Safari ya kuutafuta Utajiri ikiwa ww ndo rasilimali pekee , Maumivu yake n makali sana kwakua kila kitu unachokifanya lazima ukihangaikie Kwa nguvu nyingi sana ,nidhamu ya Hali ya juu ,kujituma sana ili kuweza kukamilisha ndoto zako
Utajiri wa kizazi Cha kwanza ..upo Kwa Wachache ,wengi wamekuta mali ..hvyo jukumu pekee walilonao n kuendeleza vile walivyovikuta
Jamii kama ya wahindi Wana Tamaduni za kurithishana mali mfano mtu kama Moe dewg , Richard wa Toyota , na wengine Hawa wamezaliwa kwenye utajiri so kuviendeleza walivovikuta n kazi ngumu lakini sio kama ya kuanzisha kitu kipya
Asilimia kubwa ya matajiri wa kizazi Cha kwanza (first generation) ..wamefanikiwa kutokana na Talents walizo nazo ...mfano wanamuziki , wacheza mpira, wavumbuzi wa vitu mbali mbali n.k
Big S/O Kwa matajiri wote wa kizazi Cha kwanza Juhudi zenu ndo zimezaa matunda ya mafanikio na maendeleo tuliyo nayo
Utajiri wa kizazi Cha kwanza Huwa mgumu mno kwakua ,muhusika anakuwa Hana rasilimali za kumuwezesha kufanikisha mambo yake hvyo bhac ...mtaji pekee alionao ni Akili yake
Tofauti na utajiri wa kurithi ambayo muhusika anakua na jukumu la kuendeleza vile alivovikuta au vile alivyo achiwa
Safari ya kuutafuta Utajiri ikiwa ww ndo rasilimali pekee , Maumivu yake n makali sana kwakua kila kitu unachokifanya lazima ukihangaikie Kwa nguvu nyingi sana ,nidhamu ya Hali ya juu ,kujituma sana ili kuweza kukamilisha ndoto zako
Utajiri wa kizazi Cha kwanza ..upo Kwa Wachache ,wengi wamekuta mali ..hvyo jukumu pekee walilonao n kuendeleza vile walivyovikuta
Jamii kama ya wahindi Wana Tamaduni za kurithishana mali mfano mtu kama Moe dewg , Richard wa Toyota , na wengine Hawa wamezaliwa kwenye utajiri so kuviendeleza walivovikuta n kazi ngumu lakini sio kama ya kuanzisha kitu kipya
Asilimia kubwa ya matajiri wa kizazi Cha kwanza (first generation) ..wamefanikiwa kutokana na Talents walizo nazo ...mfano wanamuziki , wacheza mpira, wavumbuzi wa vitu mbali mbali n.k
Big S/O Kwa matajiri wote wa kizazi Cha kwanza Juhudi zenu ndo zimezaa matunda ya mafanikio na maendeleo tuliyo nayo