Utafiti wangu binafsi katika swala hili
Nikwanini katika group au magroup na hata katika mitandao mingine ya kijamii wanaume huwa wanakuwa kipaumbele
kumfata mtu ibox
kwa mawasiliano
ya kimauhusiano ya kimapenzi??
Asa asa wanaume!!
Unafikri ni kwasababu gani?