lhera
JF-Expert Member
- Oct 9, 2018
- 1,835
- 3,603
bodaboda wa kitaa nikifika tunagawanaHalafu mnaambizana na bodaboda tumpige kisha mnaenda kugawana.
Watu wa mjini bhana....
bodaboda wa kitaa nikifika tunagawanaHalafu mnaambizana na bodaboda tumpige kisha mnaenda kugawana.
Watu wa mjini bhana....
Kuna demu fala sana alinilipisha 20,000 ya tax, 15,000 guest tukapiga na misosi kama ya buku 10, halafu mda wa gemu ananiambia ananyonyesha na yupo katika siku zake, ila alikuja tu kuniarifu Birthday yake. Nilitoka guest nikajifanya naongea na simu sikurudi, baadae ananipigia simu uko wapi anataka hela ya zawadi na nauli. Nikamwambia nisubiri baby nakuja nikazima simuSiku hz tunambinu mpya nakodi pikipiki nikifika unamlipa mwenyewe pkpk
Kabisaa, amemisHilo neno uliloficha hapo tumeliona mkuu
Labda,lakini hawa hujawaelewa rafiki sio first date mpaka useme wanawake hawana nauli,hao walishazoeana mpka wanapeana tunda lililokatazwa.Rafiki kumbe kuna aina nyingi za kujiuza!
Mkuu 45000 ukaambulia patupu daahKuna demu fala sana alinilipisha 20,000 ya tax, 15,000 guest tukapiga na misosi kama ya buku 10, halafu mda wa gemu ananiambia ananyonyesha na yupo katika siku zake, ila alikuja tu kuniarifu Birthday yake. Nilitoka guest nikajifanya naongea na simu sikurudi, baadae ananipigia simu uko wapi anataka hela ya zawadi na nauli. Nikamwambia nisubiri baby nakuja nikazima simu
Hiyo Inaitwa workdone=zeroMkuu 45000 ukaambulia patupu daah
Mkuu 45000 ukaambulia patupu daah
Yaani siku hiyo kama nilifanya kazi ya kusukuma ukuta tu, yaani mademu wengine sio yaani unachoma pesa yangu kuja kuniarifu birthday inakera sanaHiyo Inaitwa workdone=zero
Ananyonyesha alafu yupo kwenye siku zake????huyoo aliua dadekii...Kuna demu fala sana alinilipisha 20,000 ya tax, 15,000 guest tukapiga na misosi kama ya buku 10, halafu mda wa gemu ananiambia ananyonyesha na yupo katika siku zake, ila alikuja tu kuniarifu Birthday yake. Nilitoka guest nikajifanya naongea na simu sikurudi, baadae ananipigia simu uko wapi anataka hela ya zawadi na nauli. Nikamwambia nisubiri baby nakuja nikazima simu
Ndio maana mi niliamua niondoke tu, tena yeye mwenyewe ndio alishobokea kwamaba ananipendaAnanyonyesha alafu yupo kwenye siku zake????huyoo aliua dadekii...
Ni kweli wapo wa namna hiyo akiwa ananyonyesha bado anakuwa akiziona siku sake na wengine hawzioniAnanyonyesha alafu yupo kwenye siku zake????huyoo aliua dadekii...
Ahaa sijakataa inawezekana ilaa Alikuwa na majanga mengi kukwamisha mechi...Unakwepa maziwa unakutana na damu...Ni kweli wapo wa namna hiyo akiwa ananyonyesha bado anakuwa akiziona siku sake na wengine hawzioni
Ulipigwa mzeee...Mkuu unaombwa nauli buku tatu??safi sana wengine nauli haiwezi kuwa chini ya kumi aisee
Tena kitu cha uber,nililiwa mara moja tu huo mchezo wa kutuma nauli
Dem anakwambia umtumie nauli,unamtumia kwa uaminifu then hadi simu anakuzimiaUlipigwa mzeee...