oyeiko ngeleja
Member
- Oct 16, 2013
- 58
- 39
Wanaharakati tumebaini asilimia 99 ya viongozi wanasiasa hapa tanzania ni wezi wa fedha ya umma,aidha tumebaini kuwa viongozi wengi wana tamaa ya madaraka na hawana uzalendo kabisa ingawa wanajifanya wazalendo,viongozi hawa ni walafi kama nguruwe,tuandikie jina la kiongozi mwenye sifa za nguruwe ili tukamilishe utafiti wetu na majina yatawekwa hadharani bila kuficha.