Utafiti wa Prof juu ya siasa

Utafiti wa Prof juu ya siasa

Mazoko

JF-Expert Member
Joined
Jul 10, 2009
Posts
674
Reaction score
186
Kutokana na utafit uliofanywa na International political economy (IPE) umebaini kwamba Tanzania ndio nchi inayoongoza duniani kwa kuwa na maprofesa wengi wanasiasa. Bwana John Lexburg kutoka shirika hilo alikaririwa akisema, tatizo kubwa la nchi za kiafrika ni kutojua ni nini maana ya siasa, akaongeza na kusema profesa kuingia kwenye siasa ni sawa na nchi kugharamia kutengeneza ndege halafu ikaamua kuitumia hiyo ndege kama basi la abiria. Bwana John akashauri maprofesa wote na phd holders kujikita kwenye utafiti kwa ajili ya kuiinua nchi.
 
Ni kweli kabisa, ma profesor wanapokimbilia siasa wanapoteza ufahamu katika mambo ya msingi, wanapumbazwa na siasa
 
Back
Top Bottom