Utafiti: Tongoza wake za watu, wanavyokubali jiulize kwa mkeo hali ikoje?

Ncha Kali

JF-Expert Member
Sep 19, 2019
13,901
25,569
Wakuu!

Nimekuwa na tabia mbaya sijui, natongoza sana wake za watu. Halafu wala siwatafuni, basi ilimradi tu kuwachora na kisha kuwaacha wakihangaika kuniwinda.

Huruma ni kwa waume zao waliokula viapo uchwara, mnishukuru tu nimekua vema na naelewa thamani ya ndoa. Kwa matokeo haya ya awali huko kwenye ndoa hakuna kitu, yaani wake zenu beki hazikabi kabisaaa!

Hitimisho: Mke wako tu ndiye mwaminifu, sio kama hao wa wengine wanaokukubali wewe tena kirahisi tu.
 
Hiyo kitu iko same kwa waume za watu

Waume za watu hawajatulia hata kidogo,sijui hivyo viapo ama maamuzi ya kuoa huwa mnashikiwa bunduki kuyafanya?tena sasa mnaona ni haki yenu kabisa kuwa na mpango kando
 
Mbona malipo ni hapa hapa chini ya jua

Hata siku moja dhambi haijawahi kumuacha MTU salama

Kumbuka kisa cha mfalme Daudi na mke wa Uria, nini kilichomtokea

Gonga wake za watu kwa namba yoyote ile lazima wa kwako amegwe tu hamna namna
 
Mbona malipo ni hapa hapa chini ya jua

Hata siku moja dhambi haijawahi kumuacha MTU salama

Kumbuka kisa cha mfalme Daudi na mke wa Uria, nini kilichomtokea

Gonga wake za watu kwa namba yoyote ile lazima wa kwako amegwe tu hamna namna
Endelea kujifariji kwa simulizi ziitwazo maandiko.
 
Hiyo kitu iko same kwa waume za watu

Waume za watu hawajatulia hata kidogo,sijui hivyo viapo ama maamuzi ya kuoa huwa mnashikiwa bunduki kuyafanya?tena sasa mnaona ni haki yenu kabisa kuwa na mpango kando
Hizi ndoa hizi nyingi ni za hovyo tu, utadhani walioana ili wakadhamini mkopo!
 
Hiyo kitu iko same kwa waume za watu

Waume za watu hawajatulia hata kidogo,sijui hivyo viapo ama maamuzi ya kuoa huwa mnashikiwa bunduki kuyafanya?tena sasa mnaona ni haki yenu kabisa kuwa na mpango kando
Imeandikwa
 
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom