mkuu cha ajabu ni kipi mbona haya mambo yapo enzi na enzi, kibaya ni kufumaAmka mzee mwenzangu, ila mkeo ni mwaminifu sana.
Subir kbsa Msukuma akitoka madarakaninaghairi kuoa hv karibuni, naongeza miaka 5... ntaoa 2025.
Ibrahimu aliponzwa na mkewe Sarai aliyeona kama watazeeka na kufa bila ya kupata mtoto(maana walichelewa kupata mtoto ktk ndoa yao). Ibrahimu alikuwa mwaminifu sana, sauti ya kike ikamponza.Uaminifu ulimshinda Abraham utakuwa wewe!!
Kwa kuzingatia mfano huo, ndio maana na hapa tunaongelea wake za watu (wanawake).... sauti za kike huponza big time.Ibrahimu aliponzwa na mkewe Sarai aliyeona kama watazeeka na kufa bila ya kupata mtoto(maana walichelewa kupata mtoto ktk ndoa yao). Ibrahimu alikuwa mwaminifu sana, sauti ya kike ikamponza.
Kwahiyo huko kwenu wake za watu hawaliwi? Acha mkwara mlamu.Mkuu unaishi Masaki nini
uku Buguruni ukiwa na tabia iyo, anza mapema kutembea na KY
wanaliwa, sema tu, uwe tayari kwa lolote,Kwahiyo huko kwenu wake za watu hawaliwi? Acha mkwara mlamu.
mlam kalia ndiliKwahiyo huko kwenu wake za watu hawaliwi? Acha mkwara mlamu.
Kha!kha!,eti tembea na KY.Mkuu unaishi Masaki nini
uku Buguruni ukiwa na tabia iyo, anza mapema kutembea na KY
Bora mwanaume mchepukaji kuliko Mwanamke mchepukaji.Hiyo kitu iko same kwa waume za watu
Waume za watu hawajatulia hata kidogo,sijui hivyo viapo ama maamuzi ya kuoa huwa mnashikiwa bunduki kuyafanya?tena sasa mnaona ni haki yenu kabisa kuwa na mpango kando
Ubora haupoBora mwanaume mchepukaji kuliko Mwanamke mchepukaji.
Ktk madhara,mwanaume ana uafadhaliUbora haupo
Mzinzi mzinzi tu
Hakuna uafadhali wa dhambiKtk madhara,mwanaume ana uafadhali
Wewe wako beki zimebaki?Wake zenu beki hazikabi bwashee.