Huu ni utafiti rasmi uliofanywa na Shirika la Chitlliysous Consulting Inc. kwa kuanzia Mwezi January to May 2021 juu ya ukaazi wa members wa Jamiiforums.
Sample size na vigezo vilizingatiwa, infact, utafiti huu unatambulika Kimataifa.
Utafiti unaelezea makazi ya WanaJf;
1. 32% wanaishi Kimara mpaka Mbezi mwisho along Morogoro road
2. 16% wanaishi kuanzia Buguruni, Tabata mpaka Kinyerezi
3. 10% wanaishi kuanzia Mwenge, Ubungo mpaka and/along Mandela road
4. 10% wanaishi Kinondoni, Magomeni, Tandale na Manzese
5. 9% Temeke, Tandika, Mtoni, Mbagala, Kigogo, Mburahati, Ilala
6. 6% Arusha
7. 5% Mwanza
8. 2% Moshi
9. 2% Mbeya
10. 2% Zanzibar
11. 6% The rest regions/ Diaspora
Wakatabahu
Mtafiti Mtafiti Mwandamizi
Platozoom