Dining ndio ubaguzi aina gani?Katika wanasiasa Nguri nina
o wakubali ni hayati Nyerere.
Moja ya nasaha zake aliwahi
sema ukiona umtu au chama
cha siasa kinabagua with kwa
tofauti ya rangi; kabila;dining au hali yeyote ujue chama
hicho kimefilisika Sera na
Kinapaswa kuogopwa kama
Ukoma.
Sasa chama cha mapinduzi
Kimeonesha wazi ubaguzi huu
tena sio kwa kuficha Bali mbele
ya viongozi wao wakuu.
Hili sio la kufumbia mamacho
wadau kwani chama kinacho
jinasibu kuwa cha kidemokrasi
a halafu kinaleta ubaguzi kwa
RAIA wake ni hatari sana.
Burundi walianza hihivi taratibu
na madhara yake tunajua nini
kilitokea.
Ebu dadafua ubaguzi gani maana sie wengine tuko maporini hatuna network muda woteKatika wanasiasa Nguri nina
o wakubali ni hayati Nyerere.
Moja ya nasaha zake aliwahi
sema ukiona umtu au chama
cha siasa kinabagua with kwa
tofauti ya rangi; kabila;dining au hali yeyote ujue chama
hicho kimefilisika Sera na
Kinapaswa kuogopwa kama
Ukoma.
Sasa chama cha mapinduzi
Kimeonesha wazi ubaguzi huu
tena sio kwa kuficha Bali mbele
ya viongozi wao wakuu.
Hili sio la kufumbia mamacho
wadau kwani chama kinacho
jinasibu kuwa cha kidemokrasi
a halafu kinaleta ubaguzi kwa
RAIA wake ni hatari sana.
Burundi walianza hihivi taratibu
na madhara yake tunajua nini
kilitokea.
Hebu tueleweshe hiyo mantiki ya mwalimu maana wengi hatujui kwani hata mimi nilielewa kama mtoa mada alivyonukuu.
Hivi inawezekanaje ukili kosa na uombe msamaha na wakati huo huo useme kosa hilo hukufanya wewe..??! CCM wamekiri lakini baadaye wakasema bango lile lilibebwa na wapinzani .... sasa maana ya kukiri ipo wapi..??Mwalimu alikua ana hoja hiyo hasa juu ya Muungano. Hii ilihusi Pemba na Unguja endapo Zanzibar ikijitenga na Tanganyika. Mleta mada yeye anazungumzia hasa issue ya chama. Na kwa jinsi alivyowasilisha anaonesha ni mfuasi wa CUF.
Kilichotokea Zanzibar, tayari kimetolewa ufafanuzi, CCM wamekiri kufanya makosa. Kuuendeleza huu mjadala ni kutaka kuleta hoja dhaifu mezani. Mwalimu hakuwa mtu wa aina ya mleta mada.
Huyu analeta mada kishabiki, Mwalimu alikua anazungumza issue. Sio vioja kama hivi.
Uko sawa kwa maana ya chama cha kibaguzi hakifai,lakini kumbuka kwamba mabango yanayoongelewa siyo msimamo wa CCM na wala hayajatokana na chanzo ambacho ni kiongozi wa CCM,kuthibitisha hilo tumeshuhudia tamko la CCM kama chama cha kiungwana kikilaani matukio hayo na kuomba radhi.Pia jambo linapofanywa na mwanachama wa kawaida ni ngumu kukihukumu moja kwa moja chama kwa kuwa vyamani huwa kuna mamluki wanaoweza kuanzisha jambo kwa lengo la kukichafua chama.Katika wanasiasa Nguri nina
o wakubali ni hayati Nyerere.
Moja ya nasaha zake aliwahi
sema ukiona umtu au chama
cha siasa kinabagua with kwa
tofauti ya rangi; kabila;dining au hali yeyote ujue chama
hicho kimefilisika Sera na
Kinapaswa kuogopwa kama
Ukoma.
Sasa chama cha mapinduzi
Kimeonesha wazi ubaguzi huu
tena sio kwa kuficha Bali mbele
ya viongozi wao wakuu.
Hili sio la kufumbia mamacho
wadau kwani chama kinacho
jinasibu kuwa cha kidemokrasi
a halafu kinaleta ubaguzi kwa
RAIA wake ni hatari sana.
Burundi walianza hihivi taratibu
na madhara yake tunajua nini
kilitokea.
Mkuu na yanayo andikwa kisongo kila siku si ubanguzi zaidi ya hule wa mabango mbona atujaona chama kikiomba radhi na pia lowasa yeye aliomba aombewe na si kuomba kura na engeomba msahama ingekuwa amekiri ametenda kosa kwavile ajatenda kosa awezi kuomba msamahaUko sawa kwa maana ya chama cha kibaguzi hakifai,lakini kumbuka kwamba mabango yanayoongelewa siyo msimamo wa CCM na wala hayajatokana na chanzo ambacho ni kiongozi wa CCM,kuthibitisha hilo tumeshuhudia tamko la CCM kama chama cha kiungwana kikilaani matukio hayo na kuomba radhi.Pia jambo linapofanywa na mwanachama wa kawaida ni ngumu kukihukumu moja kwa moja chama kwa kuwa vyamani huwa kuna mamluki wanaoweza kuanzisha jambo kwa lengo la kukichafua chama.
Ni tofauti kidogo na matokeo ya namna hii yanapotokea "upande wa pili"ambapo wakati mwingine hutoka kwenye vyanzo ambavyo ni viongozi-mfano sote tunakumbuka lile tukio "mashuhuri la kibaguzi"la tabora kwa mgombea wa "upande wa pili" kujipigia debe kwenye nyumba ya ibada kwa kigeuzo cha dhehebu la dini,na mbaya zaidi wala hatukumsikia akiomba radhi wala kujutia jambo lile kuonesha kwamba alidhamiria na ndio msimamo wake(kama aliomba radhi naomba nisamehewe manake sikumsikia).
Hivi wewe uliona yaliyotokea uwanjani siku ile? Lile bango wakati linapita Shein, JK, mzee wa malofa, Mwinyi na wakuu wengine walikuwa wanacheka tuu. Kwa kweli niliyemuona uso wake ukionyesha mshangao ni waziri wa nje Mahiga pekee.Mwalimu alikua ana hoja hiyo hasa juu ya Muungano. Hii ilihusi Pemba na Unguja endapo Zanzibar ikijitenga na Tanganyika. Mleta mada yeye anazungumzia hasa issue ya chama. Na kwa jinsi alivyowasilisha anaonesha ni mfuasi wa CUF.
Kilichotokea Zanzibar, tayari kimetolewa ufafanuzi, CCM wamekiri kufanya makosa. Kuuendeleza huu mjadala ni kutaka kuleta hoja dhaifu mezani. Mwalimu hakuwa mtu wa aina ya mleta mada.
Huyu analeta mada kishabiki, Mwalimu alikua anazungumza issue. Sio vioja kama hivi.
Ebu dadafua ubaguzi gani maana sie wengine tuko maporini hatuna network muda wote
Tatizo wapemba wao wanajiona wakiwabagua wenzao wenyewe waki sawa. Ndo maana wahenga walizema "Nyani haoni ......."Acha wabaguliwe kwan wapemba ubaguz kwao ni kawaida mbon wanatubagua watanganyika ajabu iko wap hapo
Weka ushahidi akiomba kura hapaUko sawa kwa maana ya chama cha kibaguzi hakifai,lakini kumbuka kwamba mabango yanayoongelewa siyo msimamo wa CCM na wala hayajatokana na chanzo ambacho ni kiongozi wa CCM,kuthibitisha hilo tumeshuhudia tamko la CCM kama chama cha kiungwana kikilaani matukio hayo na kuomba radhi.Pia jambo linapofanywa na mwanachama wa kawaida ni ngumu kukihukumu moja kwa moja chama kwa kuwa vyamani huwa kuna mamluki wanaoweza kuanzisha jambo kwa lengo la kukichafua chama.
Ni tofauti kidogo na matokeo ya namna hii yanapotokea "upande wa pili"ambapo wakati mwingine hutoka kwenye vyanzo ambavyo ni viongozi-mfano sote tunakumbuka lile tukio "mashuhuri la kibaguzi"la tabora kwa mgombea wa "upande wa pili" kujipigia debe kwenye nyumba ya ibada kwa kigeuzo cha dhehebu la dini,na mbaya zaidi wala hatukumsikia akiomba radhi wala kujutia jambo lile kuonesha kwamba alidhamiria na ndio msimamo wake(kama aliomba radhi naomba nisamehewe manake sikumsikia).