Utabiri: Simba bingwa wa CAF 2023

Mpaka sasa sijaona mtu anayepinga kuwa Simba ina squad ya wapambanaji 15 wa kuleta ushindani wa kweli CAF. Uto mnajichekesha chekesha tu.
Hebu tuwekee majina ya hao wapambanaji 15 wa Simba watakaoleta ilo kombe la Afrika acha kubwabwaja sana
 
Mmepigwa jana na timu ya mwisho kwenye ligi ya kwao..!!
Tunajenga timu. Hatuna pressure za unbeaten kama nyie Uto. Lengo lingekuwa kupata ushindi kwa namna yoyote ile tungekuwa tunaongea tofauti sasa hivi.
 
Tawire baba! Tawire! 😩
Na pia kati John Boco, Habibu Kiyombo, au Kibu Dennis; mmoja wao ataibuka kuwa mfungaji bora!!

Tawireee!! 😩
 
Hahahahaa... alaf waje kinanani kwenye hizo nafasi?
 
Unaitikia amina kwani ni dua hiyo mkuu?


Then yaani mkuu nawe umemuelewa na kumuunga mkono mtoa mada au kwa sababu wote mbumbumbu?
Amina maana yake na iwe hivyoo...kwa imani yangu..
Mbona mmepanick hapo bado je tukichukua ndo mtawehuka kabisa 😆 😆 😆...
Mimi sio mbumbu maana najua Simba ikiamua kuchukua ubingwa ipo siku itachukua inaweza isiwe leo...
 
Sijaelewa zvr. Kwa hiyo utabiri wako utategemea na mapendekeezo yako, au iwe isiwe simba ni bingwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…