Utabiri kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa 2014

Utabiri kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa 2014

Brightman Jr

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2009
Posts
1,224
Reaction score
236
Kwa hali ilivyo mpaka sasa natabiri CCM itashinda kwa kishindo Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa 80%, ikifuatiwa na CHADEMA 12% na vyama vingine vitagawana 8%. Amini usiamini huu ndo utabiri halisi utakaotimia kuanzia tarehe 14,Desemba 2014. Mnaopinga tusubiri siku ifike!

UPDATES:
Kwa mujibu wa tathmini ya Katibu mwenezi Bw.Nape Nauye ni kwamba mpaka sasa CCM ina 84% ya ushindi kwa nchi nzima. Kwa wale wanaojua vizuri hisabati utabiri wangu uko sasa kwa 100%.Chukua hiyo 84% fanya approx utaona hesabu hiyo inakuwa 80%.Namshukuru Mungu kwa kuniongoza vema
 
Hebu nitabirie atakaloamua rais kuhusu mapendekezo ya bunge juu ya wahusika wa tegeta escrow.
Kwani hilo nalo la kulitabiria? Nasikia JK ameshatupa jalalani mapendekezo mengi ya Bunge
 
Ni wendawazimu kutabili ushindi kwa chama kinachounda serikali chenye umri wa zaidi ya miaka 55 dhidi ya kile ambacho hakijawahi kushika dora chenye umri wa miaka 20.
 
Unatabiri nini wakati mmeweka mapingamizi kila eneo ilimpite bila kupingwa na mwishowe mshangilie ushindi wa kishindo. wendawazimu huo kutoa upinzani na kujibakiza wenyewe na kujisifu kuwa mnapendwa
 
Nisawa na kuwapa kadi nyekundu wachezaji robo tatu afu kabla nchezo kuisha unatabiri mtashinda gori za kutosha ndio kilichofanyika kwa ccm. Kama kweli mnajiweza weken fair game af mshinde ndo mtakua na haki ya kusherehekea ata kilammoja atakupongezen otherwise n kujidanganya wenyewe
 
Huu utabiri hautofautiani sana na matokeo ya uchaguzi mkuu ujao mwaka 2015.
 
mwaka 2010 ccm ilizoa 98%, ina maana imepoteza umaarufu na kudondoka hadi 80%!!!
 
Hebu nitabirie atakaloamua rais kuhusu mapendekezo ya bunge juu ya wahusika wa tegeta escrow.

Watakao Mwaga UNGA:

  1. Professor Muhongo
  2. AG
  3. Maswi
  4. Wafanyi kazi kama watano wa IKULU.
Kimbunga cha kwanza kita wasomba hao, na pia kuna mategemeo ya wengine kufuatilia baada ya uchunguzi maalumu kufanyika.
 
Kwa hali ilivyo mpaka sasa natabiri CCM itashinda kwa kishindo Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa 80%, ikifuatiwa na CHADEMA 12% na vyama vingine vitagawana 8%. Amini usiamini huu ndo utabiri halisi utakaotimia kuanzia tarehe 14,Desemba 2014. Mnaopinga tusubiri siku ifike!

CCM kushinda ni lazima, kwa kazi kubwa ya kuwadanganya wananchi iliyofanywa na kinana na nape.
 
Yeah uchaguzi utafanyika 20% ya tanzania na kama unavosema hautafanyika 80% ya tanzania kwa mapingamizi huko utakapofanyika ukawa watashinda 78% na hicho ndicho kipimo cha 2015
 
mtabiri ni mmoja wapo wa wezi wakuu ndani ya tanzania> ccm itashinda kwa wizi kama kawaida yao
 
Kwa hali ilivyo mpaka sasa natabiri CCM itashinda kwa kishindo Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa 80%, ikifuatiwa na CHADEMA 12% na vyama vingine vitagawana 8%. Amini usiamini huu ndo utabiri halisi utakaotimia kuanzia tarehe 14,Desemba 2014. Mnaopinga tusubiri siku ifike!




Ushindi huo sio ajabu kabisa kwani mbinu chafu za CCM ni janga la taifa.
Majambazi yanatumia mbinu nyingi mno kuiba

Kuna tetesi kuwa mpaka leo hii bado CCM WANAANDIKISHA MAKADA WAO kwenye DAFTARI LA WAPIGA KURA.
Hapo kwa nini wasishinde na kuendelea kuiba na kuua mashirika ya umma yaliyosalia kama Tanesco.
Mwishowe watashinda kwa kuua watu wake kwa kushinikizwa na majambazi yanayoendelea kuiba kwani lengo sio kuingoza ni kuiba pesa kwenye mabenki.
 
Back
Top Bottom