Ndio uko kwenye ignore list yangu
Usikute wewe mzee na mimi ushaniignore,
Ndio uko kwenye ignore list yangu
Huyu Burna boy kama uchawi basi yuko vizuri sana. Nyimbo zake nyingi me huwa naziona za kawaida sana plus album yenyewe aliyotoa. Davido ana ngoma kali nyingi kweli ila hana promo kubwa kama Burna boy sijui hata kwaniniMbona ile album ya A boy from Tandale haikuchukua Tuzo Ya Grammy?
Davido album Yake kashikirisha Hadi wakina offset, Quavo, Chriss Brown Ila Grammy aliisikilizia kwenye Bomba.
Wakati Burna Boy hajashirikisha hao wasanii ila kabeba Grammy.
Endelea kujidanganya tu
Mkuu umeskiliza mapini kamaHuyu Burna boy kama uchawi basi yuko vizuri sana. Nyimbo zake nyingi me huwa naziona za kawaida sana plus album yenyewe aliyotoa. Davido ana ngoma kali nyingi kweli ila hana promo kubwa kama Burna boy sijui hata kwanini
Tatizo wasanii wa Tanzania wanakurupuka saana Mungu kawabariki kukubalika lakini kazi zao ni za kulipua saanaHabarini Wana Jf:
Kusema ukweli Diamond platinumz Ni genius wa Muziki wa kizazi kipya na kwa Maandalizi haya anaenda kuishangaza dunia kwa ALBUM ya Karne tangu Tanzania ipate Uhuru.
Kuna baadhi ya vionjo nimeviona na kuvisikiliza kiukweli Hana mpinzani labda kwa mbali Rayvanny ndo anaweza kumkalibia.
Album iko classic na imekusanya baadhi ya A-List ya wasanii wa afrika pamoja na marekani Kama Tiger,Drake,Chris Brown,Card B,DAVIDO,Burnaboy na WIZKID.
na hapa ndo atajua msanii wa pili currently kushinda Grammy huku Sony music wakimla shavu la kupromote mikito hiyo mizito
Kama kitu hujui omba uelekezwe Diamond hajaenda SA kurekodi album, ameenda kumalizia album kikubwa ikiwa ni mastering ya level ya kimataifa. Ameondoka bongo nyimbo nyingi zikiwa tayari zingine zina video pia tayari.Mwisho siku number na muda
utaongea,mengine mahaba.
USHAURI
Najua mwaka huu Kiba anaachia album na yeye mwanzoni mwa mwaka huu akaenda Nigeria kukamilisha collabo zake za hiyo album kwa wiki 2.
Diamond kaenda South na S2Kizzy kapanga nyumba nzima kwa miezi miwili,yy na baadhi ya watu wake kwa ajili ya album yake.
Konde naye juzi kaenda Nigeria kwa ajili ya collabo zake.
Ila hao wote hamna hata mmoja ambaye ana mawazo ya kuenda kwa maproducer ambao wana knowledge ya Sound Engineering ili wapate kilicho bora upande wa production.Unaweza ukatoa collabo kali ila sound hovyo.
23 na twice as tall utafikiri nyimbo za misiba. Time flies ni nzuri lakini sio kiwango cha kunisimamisha mambo mengine. Hii album imekaa kisiasa zaidi kuliko nyimbo zenyewe kuwa kali( maoni yangu) plus promo ya sound ya kiafrika.Mkuu umeskiliza mapini kama
23?
Time flies ft Sout Sol?
Twice as tall?
Album ni pamoja na kuwa na Sound unique pamoja na theme.
Check utajua tuUsikute wewe mzee na mimi ushaniignore,
Mkuu kote upo sawa, ila apo ulipo sema diamond kapanga nyumba nzima haupo sahihi,jamaa ana mjengo wake kuleDiamond kaenda South na S2Kizzy kapanga nyumba nzima kwa miezi miwili,yy na baadhi ya watu wake kwa ajili ya album
Hiyo album moja ya producers ni Justine Timberlake unategemea iwe ya kiboya.Huyu Burna boy kama uchawi basi yuko vizuri sana. Nyimbo zake nyingi me huwa naziona za kawaida sana plus album yenyewe aliyotoa. Davido ana ngoma kali nyingi kweli ila hana promo kubwa kama Burna boy sijui hata kwanini
Kasikilize singeli kijana ngoma za kijanja huziwezi23 na twice as tall utafikiri nyimbo za misiba. Time flies ni nzuri lakini sio kiwango cha kunisimamisha mambo mengine. Hii album imekaa kisiasa zaidi kuliko nyimbo zenyewe kuwa kali( maoni yangu) plus promo ya sound ya kiafrika.
Diamond Hana bifu a DAVIDO na DAVIDO after waah alimuita ndo King wa Afrika diamond platinumzHalaf vipi kuhusu Lile bifu na Devidi Adeleke
Soon kinawaka afrika inatetemekaHiyo Sasa Ni baada ya kuona kazi zenyewe
Africa ya Namtumbo labdaDiamond Hana bifu a DAVIDO na DAVIDO after waah alimuita ndo King wa Afrika diamond platinumz
Tulia kijanaFanya mpango na wewe upewe japo boda boda.unafeli wapi?
Njoo Sasa uione kwangu babyHakuna zaidi ya pesa buana
Sasa why ulifanya hivyo wakati sijakutusi na Mimi Ni fan wako unignore basi kazi iendeleeNdio uko kwenye ignore list yangu
Achelewagi huyoUsikute wewe mzee na mimi ushaniignore,