Utabiri: Chelsea FC Vs Southmpton, Chelsea FC atashinda

Leo ni tarehe 25/4

Ch=3+8+25=36

So=19+15+25=59

Chelsea atashinda

Wazee wa mikeka wekeni mzigo wa maana.
Hii hesabu sijaielewa.Ulivyojumlisha tupo pa1 ila jumla ya kilichopatikana.Chelsea 36,Southamptom 59.Umejuaje chelsea atashinda?
 
Ata mm sijamuelewa. Chelse anashinda sbb 36 ni ndogo kuliko 59 ya Southmpton au sbb ni 26 ni shufwa na ka ni shufwa kwa nn isiwe Witir 59 tufafanulie apo Aroon .
 
Chelsea atashinda kwa sababu ana better players, have a technically astute coach na wana extra motivation maana Ndoo ile paleeee. Hizi nyingine ramri za kujumlisha na kutoa namba ni kelele zisizo na mashiko
 
Utabiri wa namba na herufi ni matokeo ya kulishwa ule ujinga wa shehe marehemu! Kama laana vile, hata kaburi lake likajavunjwa!
 
Back
Top Bottom