Utabiri: 2030 Ndio Kifo Rasmi cha CCM

Ni kwamba, 2025 hawatamsumbua Mama kwenye urais, ika watapiga viti vya ubunge swafi, mahaba yataendelea...

2030... MAMA wala hatapambana sana, cha kupata laana za Wazanzibara wenzangu ni nini?

Ataacha nature itake its path, hapo ndo Chadema watapiga vizuri kabisa, CCM itaanguka.
 
Mzee CCM ya sasahivi ni moto sana watoto wa mjini ni wengi kishinda CCM ya miaka hiyo....
CCM ya Sasa unategemea wamachinga na bodaboda ambao wamekuwa na wanaendelea kuwa "brain washed" na kuaminishwa kuwa kile wanachofanya ndiyo "size" yao na haki yao! Unategemea nini hapo?
 
kampuni gani hio kenya?? maana total mtungi wa gesi kg 13 kurefill kenya ni Ksh 3,330 sawa na TZS. 60,000
link hii TotalEnergies Gas prices cylinders & accessories
 
Chadema Haina rasilimali watu katika safu ya uongozišŸƒ
 
Rostam asinge enda huko basi kuwekeza kwenye hiyo gesi.[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Duh! Aiseee😲
 
Baada ya kukamilika na kupatikana KATIBA mpya itokanayo na Rasimu alosimamia Judge WARIOBA mnamo 2026,

Mwisho wa CCM utakuwa umefika.

Tusubiri.
 
Umenena vyema mkuu
 
Watacharuana kuchagua mgombea, watagawanyika,tena JK akiwa kishakufa dunia,mambo yatakuwa mseleleko kwa Upinzani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…