Huwezi amini umetoa bonge la pointi.Hii mizigo ndo inayosababisha mjinyonge bila kupenda. Muwe na pesa kwanza na tango ya uhakika kumtuliza mwanamke aina hio mnayoitamani
Imejaa vizuri zaidi besides ndio uliyoitumia kama avatar /dp yako so unaweza kukuta ni wewe mwenyewe.
Kwani wewe upo vipi embu tuongee PM basiSio
Mimi
Ww umechagua namba ngapi