Mkanya
JF-Expert Member
- Feb 14, 2008
- 599
- 14
Waungwana amani na iwe juu yenu,Ni habari ya kusikitisha kafanyiwa kijana wa form 1.
Ustaadh mmoja maarufu saana katika jiji la Tanga kwa jina Kujata amemlawiti mwanafunzi mmoja wa form 1 katika shule ya secondary Jumuhia iliyopo jijini Tanga hustadhi huyo alikuwa ni mfundisha katika shule ya Mahawali iliyopo Tanga mjini shule hiyo kama mkiangalia vizuri katika shule kumi zilizo shika mkia kwa matokeo ya form 4 utaona hilo jina na huyo Ustaadhi alikuwa akifundisha hapo.
Inasemekana huyo ustadhi ndio ulikuwa mchezo wake wakuwachezea watoto wadogo sasa akaja kuumbuka Baada yakuchukuwa wanafunzi na kwenda nao Dar kwenye mauridi ndio akamwambia mwanafunzi wake mmoja aje amkande mguu baada ya kumkanda mguu huyo ustaadhi ndio akamuingilia yaani akamlawiti huyo kijana wa form one wakiume mpaka lile puru la nyuma likatoka kisha akampatia pesa aende hospital alivyofika hospital wauguzi wakambana sana kisha akasema nini nini kilicho mkuta.
Inavyosemekana ni kwamba mpaka sasa kuna habari nilizosikia kuwa hustadhi yupo Chumbageni polisi kwa uchunguzi.
Ustaadh ana wake wawili.
Nawakilisha.
Ustaadh mmoja maarufu saana katika jiji la Tanga kwa jina Kujata amemlawiti mwanafunzi mmoja wa form 1 katika shule ya secondary Jumuhia iliyopo jijini Tanga hustadhi huyo alikuwa ni mfundisha katika shule ya Mahawali iliyopo Tanga mjini shule hiyo kama mkiangalia vizuri katika shule kumi zilizo shika mkia kwa matokeo ya form 4 utaona hilo jina na huyo Ustaadhi alikuwa akifundisha hapo.
Inasemekana huyo ustadhi ndio ulikuwa mchezo wake wakuwachezea watoto wadogo sasa akaja kuumbuka Baada yakuchukuwa wanafunzi na kwenda nao Dar kwenye mauridi ndio akamwambia mwanafunzi wake mmoja aje amkande mguu baada ya kumkanda mguu huyo ustaadhi ndio akamuingilia yaani akamlawiti huyo kijana wa form one wakiume mpaka lile puru la nyuma likatoka kisha akampatia pesa aende hospital alivyofika hospital wauguzi wakambana sana kisha akasema nini nini kilicho mkuta.
Inavyosemekana ni kwamba mpaka sasa kuna habari nilizosikia kuwa hustadhi yupo Chumbageni polisi kwa uchunguzi.
Ustaadh ana wake wawili.
Nawakilisha.