Ustaadh amlawiti Mwanafunzi wake wa kiume

Status
Not open for further replies.

Mkanya

JF-Expert Member
Feb 14, 2008
599
14
Waungwana amani na iwe juu yenu,Ni habari ya kusikitisha kafanyiwa kijana wa form 1.
Ustaadh mmoja maarufu saana katika jiji la Tanga kwa jina Kujata amemlawiti mwanafunzi mmoja wa form 1 katika shule ya secondary Jumuhia iliyopo jijini Tanga hustadhi huyo alikuwa ni mfundisha katika shule ya Mahawali iliyopo Tanga mjini shule hiyo kama mkiangalia vizuri katika shule kumi zilizo shika mkia kwa matokeo ya form 4 utaona hilo jina na huyo Ustaadhi alikuwa akifundisha hapo.

Inasemekana huyo ustadhi ndio ulikuwa mchezo wake wakuwachezea watoto wadogo sasa akaja kuumbuka Baada yakuchukuwa wanafunzi na kwenda nao Dar kwenye mauridi ndio akamwambia mwanafunzi wake mmoja aje amkande mguu baada ya kumkanda mguu huyo ustaadhi ndio akamuingilia yaani akamlawiti huyo kijana wa form one wakiume mpaka lile puru la nyuma likatoka kisha akampatia pesa aende hospital alivyofika hospital wauguzi wakambana sana kisha akasema nini nini kilicho mkuta.

Inavyosemekana ni kwamba mpaka sasa kuna habari nilizosikia kuwa hustadhi yupo Chumbageni polisi kwa uchunguzi.

Ustaadh ana wake wawili.

Nawakilisha.
 
Waungwana amani na iwe juu yenu,Ni habari ya kusikitisha kafanyiwa kijana wa form 1.

Hustadhi mmoja maarufu saana katika jiji la Tanga kwa jina Kujata amemlawiti mwanafunzi mmoja wa form 1 katika shule ya secondary Jumuhia iliyopo jijini Tanga hustadhi huyo alikuwa ni mfundisha katika shule ya Mahawali iliyopo Tanga mjini shule hiyo kama mkiangalia vizuri katika shule kumi zilizo shika mkia kwa matokeo ya form 4 utaona hilo jina na huyo Ustaadhi alikuwa akifundisha hapo,
Inasemekana huyo ustadhi ndio ulikuwa mchezo wake wakuwachezea watoto wadogo sasa akaja kuumbuka Baada yakuchukuwa wanafunzi na kwenda nao Dar kwenye mauridi ndio akamwambia mwanafunzi wake mmoja aje amkande mguu baada ya kumkanda mguu huyo ustaadhi ndio akamuingilia yaani akamlawiti huyo kijana wa form one wakiume mpaka lile puru la nyuma likatoka kisha akampatia pesa aende hospital alivyofika hospital wauguzi wakambana sana kisha akasema nini nini kilicho mkuta.
Inavyosemekana ni kwamba mpaka sasa kunahabari nilizosikia kuwa hustadhi yupo Chumbageni polis kwa uchunguzi.
hustadhi ana wake wawili.
Nawakilisha.

Mkuu kama lugha haipandi sio lazima kuandika......unaweza ukageneralize na ukaeleweka vilevile....just a thought!!

hustadhi ana wake wawili.
Unaweka kibwagizo hiki ili ieleweke vipi mkuu?........sijapata maudhui yako hapo kidogo....bainisha tafadhali
 
Waungwana amani na iwe juu yenu,Ni habari ya kusikitisha kafanyiwa kijana wa form 1.
Ustaadh mmoja maarufu saana katika jiji la Tanga kwa jina Kujata amemlawiti mwanafunzi mmoja wa form 1 katika shule ya secondary Jumuhia iliyopo jijini Tanga hustadhi huyo alikuwa ni mfundisha katika shule ya Mahawali iliyopo Tanga mjini shule hiyo kama mkiangalia vizuri katika shule kumi zilizo shika mkia kwa matokeo ya form 4 utaona hilo jina na huyo Ustaadhi alikuwa akifundisha hapo.

Inasemekana huyo ustadhi ndio ulikuwa mchezo wake wakuwachezea watoto wadogo sasa akaja kuumbuka Baada yakuchukuwa wanafunzi na kwenda nao Dar kwenye mauridi ndio akamwambia mwanafunzi wake mmoja aje amkande mguu baada ya kumkanda mguu huyo ustaadhi ndio akamuingilia yaani akamlawiti huyo kijana wa form one wakiume mpaka lile puru la nyuma likatoka kisha akampatia pesa aende hospital alivyofika hospital wauguzi wakambana sana kisha akasema nini nini kilicho mkuta.

Inavyosemekana ni kwamba mpaka sasa kuna habari nilizosikia kuwa hustadhi yupo Chumbageni polisi kwa uchunguzi.

Ustaadh ana wake wawili.

Nawakilisha.

Nimepata kusikia Tanga mtoto wa kiume analindwa zaidi ya mtoto wa kike.Sijafanya utafiti lakini kwa kuangalia tu hii mikoa ya ukanda wa pwani na Zanzibar namba ya mashoga ni kubwa sana ukilinganisha na mikoa minigine.Tafadhali naomba kama kuna mwanajamvi atakeyeweza kunipa sababu za msingi ni kwanini mikoa ya pwani na Zanzibar mashoga ni wengi hatua zipi zichukuliwe ili kupunguza au kumaliza tatizo la wanaume wanaopenda kulawiti.Ustadhi Kujata kaidhalilisha taaluma na familia yake kwa ushenzi alioufanya bila shaka sheria itachukua mkondo wake.
 
Nimepata kusikia Tanga mtoto wa kiume analindwa zaidi ya mtoto wa kike.Sijafanya utafiti lakini kwa kuangalia tu hii mikoa ya ukanda wa pwani na Zanzibar namba ya mashoga ni kubwa sana ukilinganisha na mikoa minigine.Tafadhali naomba kama kuna mwanajamvi atakeyeweza kunipa sababu za msingi ni kwanini mikoa ya pwani na Zanzibar mashoga ni wengi hatua zipi zichukuliwe ili kupunguza au kumaliza tatizo la wanaume wanaopenda kulawiti.Ustadhi Kujata kaidhalilisha taaluma na familia yake kwa ushenzi alioufanya bila shaka sheria itachukua mkondo wake.

Nimepata kusikia Tanga mtoto wa kiume analindwa zaidi ya mtoto wa kike.
Kwani Sumbawanga kuna wachawi kuliko sehemu yoyote ile Tanzania?!?! Kasumba tu hizo.....
 
Mambo ya kusikitisha haya wajameni..Kweli mwisho wa dunia umekaribia wandugu !
 
Mkuu Mwanzage bado hujanisaidia.

Nilichotaka kuwashia tochi hapo mkuu ni kwamba hizo zote ni kasumba na maneno ya watu ya muda mrefu tu ndio yamegeuzwa kuwa ya kweli....mimi pia nilisikia kuwa kuna watu wanaitwa mumiani wananyonya damu...ikawa natoka baruti kila nihisipo kuwaona....kumbe.....maneno ya watu tu. Sasa wewe kusikia eti watoto wa kiume wanalindwa sana kuliko wa kike....uzushi tu huo kamanda...elekeza energy yako katika kufanya utafiti kwa nini ukiteuliwa/kuchaguliwa kuwa kiongozi wa Tanzania una high possibility ya kuandamwa na ugonjwa uitwao 'ufisadi'?
 
Mkuu kama lugha haipandi sio lazima kuandika......unaweza ukageneralize na ukaeleweka vilevile....just a thought!!


Unaweka kibwagizo hiki ili ieleweke vipi mkuu?........sijapata maudhui yako hapo kidogo....bainisha tafadhali

Sio tatizo lako utakaa vivyohivyo hautoelewa kamwe. Maana unaupeo mdogo wakuelewa.
Unawazidi nini walioelewa hikikitendo umekipenda sana cha huyo dogo kufanyiwa eeeh maana hakijakugusa hata kidogo.

Mashetani yako yanakudanganya hizo rugha nilizotumia ndio sahihi sio vinginevyo . uwazavyo wewe nikutokana na uwezo mdogo wa kufikili ungekuwa unauwezo wa kufikili usingeshindwa kugundua nilichoandika.
Ficha upumbavu wako na uweke wazi hekima zako.
Nyinyi ndio mnao furahi pindi watoto wanapolawitiwa hata halikugusi , wala hauonyeshi kusikitishwa loh!!!!! umeona lugha tu!!
 
Sio tatizo lako utakaa vivyohivyo hautoelewa kamwe. Maana unaupeo mdogo wakuelewa.
Unawazidi nini walioelewa hikikitendo umekipenda sana cha huyo dogo kufanyiwa eeeh maana hakijakugusa hata kidogo.

Mashetani yako yanakudanganya hizo rugha nilizotumia ndio sahihi sio vinginevyo . uwazavyo wewe nikutokana na uwezo mdogo wa kufikili ungekuwa unauwezo wa kufikili usingeshindwa kugundua nilichoandika.
Ficha upumbavu wako na uweke wazi hekima zako.
Nyinyi ndio mnao lawiti watoto9 hata halikugusi !! umeona lugha tu!!

Mbona umekuwa mkali ghafla Kamanda?!?! Deflate Upepo huo na uzungumzie mada uliyoileta hapa.....Soma thread tena uone nimesema nini baada ya mchangiaji mmoja kusema dunia inafikia tamati.
Yes nasema tena hakuna neno "hustadhi" na mengineyo yoote niliyoyabadilisha rangi....kasome tena huko ulikoitoa hii habari na uliza watu then watakwambia maneno sahihi ya kuyatumia....
Kama ungekuwa makini na umepasi darasa tatu ungegundua ya kuwa sijabisha kuhusu tukio lenyewe kutokea au kutotokea maana sijaisikia hiyo habari...
Nyinyi ndio mnao lawiti watoto9 hata halikugusi !! umeona lugha tu!!
Huh?!
Mashetani yako yanakudanganya hizo rugha nilizotumia ndio sahihi sio vinginevyo .
Duh nina mashetani tena mkuu...Subiani...Jini Bahri...Makata....Kibwengo...au nani tena....Nipunge basi....
I cant help it....Lugha Kamanda....
 
Last edited:
Sio tatizo lako utakaa vivyohivyo hautoelewa kamwe. Maana unaupeo mdogo wakuelewa.
Unawazidi nini walioelewa hikikitendo umekipenda sana cha huyo dogo kufanyiwa eeeh maana hakijakugusa hata kidogo.

Mashetani yako yanakudanganya hizo rugha nilizotumia ndio sahihi sio vinginevyo . uwazavyo wewe nikutokana na uwezo mdogo wa kufikili ungekuwa unauwezo wa kufikili usingeshindwa kugundua nilichoandika.
Ficha upumbavu wako na uweke wazi hekima zako.
Nyinyi ndio mnao furahi pindi watoto wanapolawitiwa hata halikugusi , wala hauonyeshi kusikitishwa loh!!!!! umeona lugha tu!!

Bila shaka huyu jamaa ni mkurya wa kule musoma.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom