habari za leo wanajamvi,hivi binti ukiwa smart kimavazi,namaanisha kimuonekano inaweza kusababisha wanaume wakaogopa kukuaproach? ninarafiki yangu ninafanyanae kazi, mdada ni mzuri,anajipenda yan ukimuangalia unaweza sema mdada ana msururu wa wanaume, chakushangaza katika stori amenishangaza aliponambia, hapo alipo hana boyfrend,anahisi wanaume wanamuogopa the way alivyo,yani wanaogopa kumuaproach. hali hiyo inamkosesha raha.but the gal mkimuona ni very smart,anapendeza,hakuna nguo alovaa acpendeze.