MR LINKO
JF-Expert Member
- Aug 20, 2016
- 3,034
- 3,481
Konokono hana mfupa wowote kwenye mwili wake na pia konokono aina ya
"HERMAPHRODITES" kwa maana wanamiliki jinsia mbili (Kiume na Kike)
Kwenye kujamiiana wanaviziana, atakayeruhusu kupandwa ndo atataga mayai.Huyo ndo konokono lakini kitu pekee cha ajabu kabisa ni kuwa moja ya sifa anayofanana na binadamu ni kwamba akimeza Chakula misuli ya mkiani hujikaza sawa na BINADAMU AKIMEZA MATE makalio hubana kwa kipindi chote hadi mate yazame kooni.
Huwezi amini kuna watu wameshajaribu kumeza mate hata kabla hawajamaliza kusoma.
SIO KILA KITU KINAJARIBIWA MTAKUJAGA KUFA NYIE.
"HERMAPHRODITES" kwa maana wanamiliki jinsia mbili (Kiume na Kike)
Kwenye kujamiiana wanaviziana, atakayeruhusu kupandwa ndo atataga mayai.Huyo ndo konokono lakini kitu pekee cha ajabu kabisa ni kuwa moja ya sifa anayofanana na binadamu ni kwamba akimeza Chakula misuli ya mkiani hujikaza sawa na BINADAMU AKIMEZA MATE makalio hubana kwa kipindi chote hadi mate yazame kooni.
Huwezi amini kuna watu wameshajaribu kumeza mate hata kabla hawajamaliza kusoma.
SIO KILA KITU KINAJARIBIWA MTAKUJAGA KUFA NYIE.