.Ilitoka Paris airport saa2109GMT Wednesday ikitegemewa kutua cairo Airport at 0115GMT.
.Saa2324GMT Iliingia Greek airspace.
.Controller wa Greek Airtraffic aliongea kwa mara ya mwisho saa2345 na pilot aliripoti kuwa hakuna tatizo!
.Greek controller alipojaribu kuwasilliana kwa mara nyingine saa0027GMT hapakuwa majibu kutoka kwa rubani!
.Ndege iliripotiwa kupotea kwenye radar za ugiriki saa0029,40.
Ilipofika saa0030GMT ilipotea kwenye radar ya Egypt 280km coast.
.jitihada za kuitafuta zilianza mara moja saa0045,baada ya Rais wa ufaransa kutangaza kuhusu crashing.
.Ndege ilifanya abrupt turns' yaani 90degrees left then 360Right.
Baadae ilishuka kutoka37000 mpaka 15000 then ikapotelea 10000...So sad!
Itaendelea.....Asbh njema!