Usiyoyajua kuhusu CHADEMA

Usiyoyajua kuhusu CHADEMA

NTIGAHELA

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2014
Posts
368
Reaction score
257
LAANA INAWATESA AKINA MBOWE.

Mzee EDWIN MTEI na BOB NYANZA MAKANI waliianzisha CHADEMA ili ije kushika dola na kuonyesha utofauti kimatendo Kati ya CHADEMA na CCM.

WAZEE hawa waliweka pembeni maslahi yao binafsi na kutanguliza maslahi ya chadema na Taifa mbele. Waliijenga CHADEMA Kama Taasisi ya Umma chini ya falsafa ya nguvu ya Umma (PEOPLE'S POWER)

MZEE MTEI na BOB MAKANI walihakikisha wanaandaa VIJANA wa kushika nafasi zao wakiamini wao ni binadamu Kuna Leo na kesho lakini pia waliamini kupokezana kijiti Kuna leta mawazo mapya, nguvu mpya na ustawi wa chama Kama Taasisi.
MTEI aliongoza kuanzia 1992 hadi 1998 na MAKANI aliongoza kuanzia 1998 hadi 2004.

Lakini viongozi wa sasa wakiongozwa na FREEMAN MBOWE DADA wamekuwa na mienendo ya hovyo.
FREEMAN MBOWE baada ya kupokea UENYEKITI wa CHADEMA 2004 miaka 5 baadaye alibadilisha KATIBA YA CHAMA kwani awali katiba ilimtaka mwenyekiti wa Taifa aongoze MIHULA MIWILI tu (miaka 5 au 10). Yeye Mwamba akaondoa ukomo wa uongozi. Ndio maana mpaka leo yupo madarakani.

Akina MBOWE wametengeneza umungu mtu ndani ya CHADEMA. Wao ndio wanaamua Nani awe kiongozi ndani ya chama, Kama hawakutaki ukigombea unapewa majina yote mabaya. (Msaliti, mamluki, sumu, pandikizi, usalama, umetumwa na CCM n.k.

MBOWE na Kundi lake wao wamewafanya wadada wanaogombea Ubunge wa viti maalum kuwa vyakula vyao. Rushwa za ngono zimetamalaki, wamekomaa kuwatoa wale wadada kwa sababu waligoma kuvuliwa chupi na MBOWE.

Ruzuku na michango ya chama wanaitafuna na kuanzishia miradi yao binafsi.
Hawa jamaa wameshatoka kwenye misingi ya kuasisiwa CHADEMA, Sasa ni wasakatonge na fursa. Hata hii vita yao ni ya maslahi binafsi.

Badala ya kuandaa viongozi wa baadaye wao wamewafanya vijana kuwa madaraja yao, makarai ya kujengea wakimaliza kuwatengezea njia wanawadampo.

MBOWE na GENGE lako mna laana ya milele
 
Najaribu kufikiria kipindi cha giza lililosababishwa na ujuha wa Magufuli wa kutokujua sheria na katiba kama mwenyekiti wa Chadema asingekuwa MBOWE Leo Chadema ingekuwa wapi?
 
Kwanza njaa inakuuma hebu kula kwanza!
 

Attachments

  • IMG_20220928_154551.jpg
    IMG_20220928_154551.jpg
    54.3 KB · Views: 11
Kama kazi uliotumwa na waajili wako ndio hii Mimi nisikitoke tu kwamba CCM wanatumia vibaya Kodi zetu kuwalipeni wapuuzi kama wewe.
 
Kama si Mbowe naamini kwa asilimia zote,Chadema ingekuwa ktk mafaili.,Hata wewe unaeloloma unalijua hilo.
 
Kama si Mbowe naamini kwa asilimia zote,Chadema ingekuwa ktk mafaili.,Hata wewe unaeloloma unalijua hilo.
Tatizo la CHADEMA ni sawa na lile la CCM. CHADEMA inajiamisha kuwa CHADEMA bila Mbowe mambo hayaendi kama CCM inavyojiamishi kuwa Tanzania bila CCM mambo hayaendi. Watanzania inabidi tuamke na kukubali kuwa kuna mbadala wa wale tunaodhani ndiyo viongozi tu. Kuna wakati Watanzania waliamini kuwa Tanzania bila Nyerere mambo hayataenda, lakini Nyerere aliondoka na bado Tanzania ipo. Nchi ni kubwa kuliko kiongozi au chama cha siasa. Chama cha siasa ni kikubwa kuliko kiongozi au viongozi wachache. Ni udumavu wa akili kufikiri kuwa CHADEMA bila Mbowe haiwezekani. Je, Mbowe ataishi milele. Hata Wachina waliamini kuwa China bila Mao tes Tung haiwezekani, lakini Maol aliondoka na kukatokea kasi ya maendeleo ambayo hayakutegemewa. Kwa hiyo ni vizuri wanachadema kuamini kuwa CHADEMA bila Mbowe inawezekana na inaweza ikapata mafanikio ambayo hawategemei. Tatizo kubwa la imani kwa mtu mmpoja ni kuzuia talent na damu mpya. Kiongozi hatakiwa kuaminiwa kama muungu. Aliaminiwa Ma tes Tung. Aliaminiwa Nyerere na hivyo hivyo waliaminiwa viongozi wengi waliyoleta uhuru, lakini maendeleo ya kweli yalionekana walivyotoka madarakani.
 
LAANA INAWATESA AKINA MBOWE.

Mzee EDWIN MTEI na BOB NYANZA MAKANI waliianzisha CHADEMA ili ije kushika dola na kuonyesha utofauti kimatendo Kati ya CHADEMA na CCM.

WAZEE hawa waliweka pembeni maslahi yao binafsi na kutanguliza maslahi ya chadema na Taifa mbele. Waliijenga CHADEMA Kama Taasisi ya Umma chini ya falsafa ya nguvu ya Umma (PEOPLE'S POWER)

MZEE MTEI na BOB MAKANI walihakikisha wanaandaa VIJANA wa kushika nafasi zao wakiamini wao ni binadamu Kuna Leo na kesho lakini pia waliamini kupokezana kijiti Kuna leta mawazo mapya, nguvu mpya na ustawi wa chama Kama Taasisi.
MTEI aliongoza kuanzia 1992 hadi 1998 na MAKANI aliongoza kuanzia 1998 hadi 2004.

Lakini viongozi wa sasa wakiongozwa na FREEMAN MBOWE DADA wamekuwa na mienendo ya hovyo.
FREEMAN MBOWE baada ya kupokea UENYEKITI wa CHADEMA 2004 miaka 5 baadaye alibadilisha KATIBA YA CHAMA kwani awali katiba ilimtaka mwenyekiti wa Taifa aongoze MIHULA MIWILI tu (miaka 5 au 10). Yeye Mwamba akaondoa ukomo wa uongozi. Ndio maana mpaka leo yupo madarakani.

Akina MBOWE wametengeneza umungu mtu ndani ya CHADEMA. Wao ndio wanaamua Nani awe kiongozi ndani ya chama, Kama hawakutaki ukigombea unapewa majina yote mabaya. (Msaliti, mamluki, sumu, pandikizi, usalama, umetumwa na CCM n.k.

MBOWE na Kundi lake wao wamewafanya wadada wanaogombea Ubunge wa viti maalum kuwa vyakula vyao. Rushwa za ngono zimetamalaki, wamekomaa kuwatoa wale wadada kwa sababu waligoma kuvuliwa chupi na MBOWE.

Ruzuku na michango ya chama wanaitafuna na kuanzishia miradi yao binafsi.
Hawa jamaa wameshatoka kwenye misingi ya kuasisiwa CHADEMA, Sasa ni wasakatonge na fursa. Hata hii vita yao ni ya maslahi binafsi.

Badala ya kuandaa viongozi wa baadaye wao wamewafanya vijana kuwa madaraja yao, makarai ya kujengea wakimaliza kuwatengezea njia wanawadampo.

MBOWE na GENGE lako mna laana ya milele
Njaa inakusumbusa omba msaada tuu sio mpaka uikashifu Chadema na viongozi wake ili uwafurahishe ccm hata kama hawajakutuma huoni ni kazi bure waombe msamaha Chadema.
 
Back
Top Bottom