No mimi ni mtu wa staha sana,sema siwezi kutangaza nani na nani nishawaidia bila masharti,niliwahi kuwasaidia mtu na mkewe ambao walijitangaza wamekwama vibaya sana huko dar ,maeneo ya tanganyika packers,niliwafiata na nikakaa nao siku nzima tukiongea na kupeana akili,hivi sasa wana duka la jumla na wamejenga nyumba ya vyumba 3