Usiyaogope maisha

Usiyaogope maisha

fimboyaukwaju

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2020
Posts
5,678
Reaction score
7,325
Ndio maisha kwa sasa ni magumu sana,najua vijana wengi wanayaogopa,wana hofu kubwa na wengine wamekata tamaa, lakini nawaambia msiyaogope maisha, pambaneni na kwa lugha yenu mtatoboa.

Na kwa yule anayetaka msaada wa mawazo au mbinu za kujikwamua njooni inbox, nitakusaidia ila usije kuomba pesa hilo siwezi.

Uwe mwanamke au mwanaume njoo na uniambie umekwama wapi.
 
Kwahy raia mmegoma kupata msaada kutoka kwa ndugu yetu 😂 baadae msije sema mmekosa fursa wakati Sir God amemtuma malaika wake kwenu 😎
 
Fimbo ya ukwaju naona unataka kuwatembezea watitonwa like mkong'oto.
Monetary doctor
No mimi ni mtu wa staha sana,sema siwezi kutangaza nani na nani nishawasaidia bila masharti,niliwahi kuwasaidia mtu na mkewe ambao walijitangaza wamekwama vibaya sana huko dar ,maeneo ya tanganyika packers,niliwafuata na nikakaa nao siku nzima tukiongea na kupeana akili,hivi sasa wana duka la jumla na wamejenga nyumba ya vyumba 3
 
No mimi ni mtu wa staha sana,sema siwezi kutangaza nani na nani nishawaidia bila masharti,niliwahi kuwasaidia mtu na mkewe ambao walijitangaza wamekwama vibaya sana huko dar ,maeneo ya tanganyika packers,niliwafiata na nikakaa nao siku nzima tukiongea na kupeana akili,hivi sasa wana duka la jumla na wamejenga nyumba ya vyumba 3
Mkuu mungu akulinde kama kweli hutembezi mkong'oto.
 
Najua wengi hawaamini kwani uovu umezidi duniani,mimi ni mzee wa 64 yrs,nina wake 2 nina watoto kadhaa,siwezi kufanya vitu vya kijinga
Mbn umeji defence kwny age ebu tuchape na misitari kadha ya bible au vifungu vya quruan tujenge imani 😄
 
Back
Top Bottom