STUNTER
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 13,076
- 17,246
Kuna watu tumewaruhusu Wawe Shareholders
kwenye Maisha yetu lakini HAWANA FAIDA HATA
1....
---Hawajawahi KUKUPA HELA
---Hawajawahi kukupa DILI LA HELA
---Hawajawahi kukupa Ushauri wowote wa Kimaisha au Kiuchumi
---Hawajawahi kukutambulisha kwa mtu yeyote
Productive in Life
---Hawajahi kukuMOTIVATE Chochote
---Hawajawahi kukuINSPIRE lolote
---Hawajawahi kukuCRITICIZE pale unapokosea....WAPOWAPO TU!!
Watu wa aina hii, ikitokea Mungu anawaondoa in your
Life unapaswa UFANYE SHEREHE KUBWA SANA!!
They are simply STUPID AND USELESS! Kwa muda
mrefu wamekuwa wakiOCCUPY MB za Kutosha
kwenye Maisha yako bila sababu yoyote na Tumewaruhusu wakati kuna watu wa maana
wako pembeni lakini1 wamekosa nafasi ya Kuingia
kwenye Maisha yetu,ambao wangekuwa Msaada
Mkubwa na Life Changers kwa sababu Nafasi
Zimejaa Wapuuzi wasio na Faida yoyote..
When God takes Away these Idiots in ur life, THANK HIM kwa sababu anakutengenezea Nafasi ya wewe
kukutana na watu WAPYA ambao wataleta
Mabadiliko kwenye maisha yako completely...
Hakuna haja ya kuwa na watu waliokuzunguka
WEEEENGII wasio na Faida,Ni Heri wawepo
wachache au Heri uwe PEKE YAKO lakini Unajua unachofanya...
Mungu na akusaidie kutambua Nani ni Boya la
Kulitosa Baharini na Nani ni Boya la Kuvaa ili
likuokoe... YA MOYONI
kwenye Maisha yetu lakini HAWANA FAIDA HATA
1....
---Hawajawahi KUKUPA HELA
---Hawajawahi kukupa DILI LA HELA
---Hawajawahi kukupa Ushauri wowote wa Kimaisha au Kiuchumi
---Hawajawahi kukutambulisha kwa mtu yeyote
Productive in Life
---Hawajahi kukuMOTIVATE Chochote
---Hawajawahi kukuINSPIRE lolote
---Hawajawahi kukuCRITICIZE pale unapokosea....WAPOWAPO TU!!
Watu wa aina hii, ikitokea Mungu anawaondoa in your
Life unapaswa UFANYE SHEREHE KUBWA SANA!!
They are simply STUPID AND USELESS! Kwa muda
mrefu wamekuwa wakiOCCUPY MB za Kutosha
kwenye Maisha yako bila sababu yoyote na Tumewaruhusu wakati kuna watu wa maana
wako pembeni lakini1 wamekosa nafasi ya Kuingia
kwenye Maisha yetu,ambao wangekuwa Msaada
Mkubwa na Life Changers kwa sababu Nafasi
Zimejaa Wapuuzi wasio na Faida yoyote..
When God takes Away these Idiots in ur life, THANK HIM kwa sababu anakutengenezea Nafasi ya wewe
kukutana na watu WAPYA ambao wataleta
Mabadiliko kwenye maisha yako completely...
Hakuna haja ya kuwa na watu waliokuzunguka
WEEEENGII wasio na Faida,Ni Heri wawepo
wachache au Heri uwe PEKE YAKO lakini Unajua unachofanya...
Mungu na akusaidie kutambua Nani ni Boya la
Kulitosa Baharini na Nani ni Boya la Kuvaa ili
likuokoe... YA MOYONI