Chimunguru
JF-Expert Member
- May 3, 2009
- 10,678
- 4,378
Mnyakyusa hata unipe bure na milioni moja juu sichukui ni malaya wa kupindukia,alafu wanatoroka na watoto hasa ukiwa sio kabila lake,alafu watoto wanapachikwa majina ya kinyakyusa na kuongea lugha ya kinyakyusa badala ya lugha ya baba.yaani hovyooooo! Mabasha zake watakuja hadi kwako unadangwa kaka zangu.nimewala sana wanyakyusa kama 21 nawajua sanaa! Alafu ni wanafiki.
Jina tu kweli wewe ni wa tukuyu njia kwenda lwangwa etata afwiiile umundu
Mweeeeeehhhh
Ngimba Gu Menye Kikolo Palapala Pa Sukulu
Mweeeeeehhhh
Ah wanawake wa kinyakyusa ni Malaya sana,ni shida sana kuwa na mnyaki
Kwa bahati ikatokea umepata mchumba/mke wa kinyakyusa. Usifikirie kumuacha maana ni watu wanajibidisha kutafuta pesa, pia kitandani wapo vizuri. Kasoro wana sura ngumu sana.
achana nao hao hawana cha kuongea, halafu usikute hao wanaotukana wanyakyusa usikute wamelelewa na mama peke yake hawamjui baba tukubhakolela ukuti basigwana...... Najivunia kuwa mnyakyusa bidii na ujasiri ndio siraha yetu
Sika sya kompangila bhibhi asatosye ompopa! anna mwakaringa na nungwe katusyo mli kogho?Ndipo pa Mbwani
Umesahau moja, wana nguvu sana kwenye familia, mwanamme ukizubaa tu mwanamke atakua ndio kila kitu, atajivika ubaba na umama. mwanaume huwi na sauti ndani ya nyuma. Siwapendi kwa kweli. ila wanaume wako poa.
Kabila gani sio malaya wasichana wao!Nitajie kabila moja tu pls
Pia ni wachafu ndani
Ah wanawake wa kinyakyusa ni Malaya sana,ni shida sana kuwa na mnyaki
Kuna makabila wanawake wa kinyakyusa huwaambiwa wasiolewe nayo, tatizo usipozingatia hilo ndo unaishia kuolewa na type hii inayotukana. wanawake wanyakyusa.
Mwanamke wa kinyakyusa ni dhahabu, jitihada zangu zote na bidii zangu zote sikupata Neema na bahati ya kupata mwanamke mnyakyusa.......NASIKITIKA SANA