Usisome hii kama wewe sio msichana

Mithali 30:31 Jimbi aendaye tambo; na beberu; Na mfalme ambaye haasiki.
 
Mbona ww hujaweka no ya cm????? Ila unataka ya mwenzako
 
Kama umekosea msitari wa bible nahisi hauki serious kwenye mambo yako!!
 

Aisee
MITHALI 30:31, "Uzuri Wa Mwanamke Sio Sura,bali Yeye Amchae Bwana Ndiye Atakayesifiwa"

MITHALI 30:31 "Jimbi aendaye tambo; na beberu; Na mfalme ambaye haasiki."
 
ok,nilikosea ahsante
ni mithali 31:30

MITHALI 31:30"Uzuri Wa Mwanamke Sio Sura,bali Yeye Amchae Bwana Ndiye Atakayesifiwa"

MITHALI:31:30 "Upendeleo hudanganya, na uzuri ni ubatili; Bali mwanamke amchaye BWANA, ndiye atakayesifiwa"
 

Unasali kanisa gani? Nipo hapa ruaha jirani na mini supermarket ya Asenga. Nahitaji mume mwema na nahisi tutaendana.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…