Usishangae haya kwa uongozi huu na ujao

Usishangae haya kwa uongozi huu na ujao

britanicca

Platinum Member
Joined
May 20, 2015
Posts
18,063
Reaction score
47,057
Mara nyingi Tanzania haina sera za kitaifa , upenyo huu umpa rais kufanya ambayo anataka yeye, mfano
Usishangae mpaka Magufuli anamaliza uongozi wake amejikita katika miundo mbinu ya bara bara tu maana amezoea wizara hiyo,

Ukimpa urais Tundu Lissu, atajikita kubadirisha sheria mbovu tu badala ya kuyashughulikia mengine, hakuwahi kuwa waziri ila hulka yake ni kuleta mapinduzi ya kisheria nchini,

Ukimpa Zitto ye atakaa kwenye uchumi na walioficha pesa uswisi , hatakuwa na cha ujenzi wa bara bara wala nini,

Ukimpa mbowe ye ataimarisha ruzuku kwanza za vyama vya siasa,

Ukimpa Nape ye atakuwa anadhani muda wote uenezi

Ukimpa Makonda yeye itakuwa ni kufuatilia shisha na walevi tu

Ukimpa ndalichako atadili na shule ambazo hazijasajiliwa na passmark tu,

Ukimpa Mbatia yeye ataimarisha kikosi cha zima moto, na uokojia tu

Tunataka sera ya kitaifa,
 
Mara nyingi Tanzania haina sera za kitaifa , upenyo huu umpa rais kufanya ambayo anataka yeye, mfano
Usishangae mpaka Magufuli anamaliza uongozi wake amejikita katika miundo mbinu ya bara bara tu maana amezoea wizara hiyo,

Ukimpa urais Tundu Lissu, atajikita kubadirisha sheria mbovu tu badala ya kuyashughulikia mengine, hakuwahi kuwa waziri ila hulka yake ni kuleta mapinduzi ya kisheria nchini,

Ukimpa Zitto ye atakaa kwenye uchumi na walioficha pesa uswisi , hatakuwa na cha ujenzi wa bara bara wala nini,

Ukimpa mbowe ye ataimarisha ruzuku kwanza za vyama vya siasa,

Ukimpa Nape ye atakuwa anadhani muda wote uenezi

Ukimpa Makonda yeye itakuwa ni kufuatilia shisha na walevi tu

Tunataka sera ya kitaifa,
Ni ujinga mkubwa kumfikiria makonda kuiongoza nchi!
 
Mara nyingi Tanzania haina sera za kitaifa , upenyo huu umpa rais kufanya ambayo anataka yeye, mfano
Usishangae mpaka Magufuli anamaliza uongozi wake amejikita katika miundo mbinu ya bara bara tu maana amezoea wizara hiyo,

Ukimpa urais Tundu Lissu, atajikita kubadirisha sheria mbovu tu badala ya kuyashughulikia mengine, hakuwahi kuwa waziri ila hulka yake ni kuleta mapinduzi ya kisheria nchini,

Ukimpa Zitto ye atakaa kwenye uchumi na walioficha pesa uswisi , hatakuwa na cha ujenzi wa bara bara wala nini,

Ukimpa mbowe ye ataimarisha ruzuku kwanza za vyama vya siasa,

Ukimpa Nape ye atakuwa anadhani muda wote uenezi

Ukimpa Makonda yeye itakuwa ni kufuatilia shisha na walevi tu

Tunataka sera ya kitaifa,
expired weeds have completely affected you
 
Kweli mkuu tunahitaji sera ya taifa ili rais anaekuja au kuchaguliwa aitekeleze swali langu je! Nani ataiandaa hiyo sera ya taifa?
 
Mara nyingi Tanzania haina sera za kitaifa , upenyo huu umpa rais kufanya ambayo anataka yeye, mfano
Usishangae mpaka Magufuli anamaliza uongozi wake amejikita katika miundo mbinu ya bara bara tu maana amezoea wizara hiyo,

Ukimpa urais Tundu Lissu, atajikita kubadirisha sheria mbovu tu badala ya kuyashughulikia mengine, hakuwahi kuwa waziri ila hulka yake ni kuleta mapinduzi ya kisheria nchini,

Ukimpa Zitto ye atakaa kwenye uchumi na walioficha pesa uswisi , hatakuwa na cha ujenzi wa bara bara wala nini,

Ukimpa mbowe ye ataimarisha ruzuku kwanza za vyama vya siasa,

Ukimpa Nape ye atakuwa anadhani muda wote uenezi

Ukimpa Makonda yeye itakuwa ni kufuatilia shisha na walevi tu

Ukimpa ndalichako atadili na shule ambazo hazijasajiliwa na passmark tu,

Ukimpa Mbatia yeye ataimarisha kikosi cha zima moto, na uokojia tu

Tunataka sera ya kitaifa,
Sera za kitaifa zipo,mpango wa miaka mitano na mipango mingine mingi.
 
Mara nyingi Tanzania haina sera za kitaifa , upenyo huu umpa rais kufanya ambayo anataka yeye, mfano
Usishangae mpaka Magufuli anamaliza uongozi wake amejikita katika miundo mbinu ya bara bara tu maana amezoea wizara hiyo,

Ukimpa urais Tundu Lissu, atajikita kubadirisha sheria mbovu tu badala ya kuyashughulikia mengine, hakuwahi kuwa waziri ila hulka yake ni kuleta mapinduzi ya kisheria nchini,

Ukimpa Zitto ye atakaa kwenye uchumi na walioficha pesa uswisi , hatakuwa na cha ujenzi wa bara bara wala nini,

Ukimpa mbowe ye ataimarisha ruzuku kwanza za vyama vya siasa,

Ukimpa Nape ye atakuwa anadhani muda wote uenezi

Ukimpa Makonda yeye itakuwa ni kufuatilia shisha na walevi tu

Ukimpa ndalichako atadili na shule ambazo hazijasajiliwa na passmark tu,

Ukimpa Mbatia yeye ataimarisha kikosi cha zima moto, na uokojia tu

Tunataka sera ya kitaifa,
Ni kwel , kabisa
 
Mara nyingi Tanzania haina sera za kitaifa , upenyo huu umpa rais kufanya ambayo anataka yeye, mfano
Usishangae mpaka Magufuli anamaliza uongozi wake amejikita katika miundo mbinu ya bara bara tu maana amezoea wizara hiyo,

Ukimpa urais Tundu Lissu, atajikita kubadirisha sheria mbovu tu badala ya kuyashughulikia mengine, hakuwahi kuwa waziri ila hulka yake ni kuleta mapinduzi ya kisheria nchini,

Ukimpa Zitto ye atakaa kwenye uchumi na walioficha pesa uswisi , hatakuwa na cha ujenzi wa bara bara wala nini,

Ukimpa mbowe ye ataimarisha ruzuku kwanza za vyama vya siasa,

Ukimpa Nape ye atakuwa anadhani muda wote uenezi

Ukimpa Makonda yeye itakuwa ni kufuatilia shisha na walevi tu

Ukimpa ndalichako atadili na shule ambazo hazijasajiliwa na passmark tu,

Ukimpa Mbatia yeye ataimarisha kikosi cha zima moto, na uokojia tu

Tunataka sera ya kitaifa,
Unaweza soma hiyo attachment. ni lazima uwelewe Serikali ina Mipango yake lakini tatizo ni utekelezaji wa kile tunachokipanga.
 

Attachments

Mara nyingi Tanzania haina sera za kitaifa , upenyo huu umpa rais kufanya ambayo anataka yeye, mfano
Usishangae mpaka Magufuli anamaliza uongozi wake amejikita katika miundo mbinu ya bara bara tu maana amezoea wizara hiyo,

Ukimpa urais Tundu Lissu, atajikita kubadirisha sheria mbovu tu badala ya kuyashughulikia mengine, hakuwahi kuwa waziri ila hulka yake ni kuleta mapinduzi ya kisheria nchini,

Ukimpa Zitto ye atakaa kwenye uchumi na walioficha pesa uswisi , hatakuwa na cha ujenzi wa bara bara wala nini,

Ukimpa mbowe ye ataimarisha ruzuku kwanza za vyama vya siasa,

Ukimpa Nape ye atakuwa anadhani muda wote uenezi

Ukimpa Makonda yeye itakuwa ni kufuatilia shisha na walevi tu

Ukimpa ndalichako atadili na shule ambazo hazijasajiliwa na passmark tu,

Ukimpa Mbatia yeye ataimarisha kikosi cha zima moto, na uokojia tu

Tunataka sera ya kitaifa,
Tuje kwako ukipewa wewe utafanya nini..
Sory lakini kwa kukuswalika hili swali.
 
Mara nyingi Tanzania haina sera za kitaifa , upenyo huu umpa rais kufanya ambayo anataka yeye, mfano
Usishangae mpaka Magufuli anamaliza uongozi wake amejikita katika miundo mbinu ya bara bara tu maana amezoea wizara hiyo,

Ukimpa urais Tundu Lissu, atajikita kubadirisha sheria mbovu tu badala ya kuyashughulikia mengine, hakuwahi kuwa waziri ila hulka yake ni kuleta mapinduzi ya kisheria nchini,

Ukimpa Zitto ye atakaa kwenye uchumi na walioficha pesa uswisi , hatakuwa na cha ujenzi wa bara bara wala nini,

Ukimpa mbowe ye ataimarisha ruzuku kwanza za vyama vya siasa,

Ukimpa Nape ye atakuwa anadhani muda wote uenezi

Ukimpa Makonda yeye itakuwa ni kufuatilia shisha na walevi tu

Ukimpa ndalichako atadili na shule ambazo hazijasajiliwa na passmark tu,

Ukimpa Mbatia yeye ataimarisha kikosi cha zima moto, na uokojia tu

Tunataka sera ya kitaifa,
Hapo kwa makonda ni jambo lisilowezekana kutokea ni jambo ambalo linaitwa bahari kukauka kwasababu ya ukame , it can never happen rekebisha hapo
 
Back
Top Bottom