kimboka one
JF-Expert Member
- Jan 23, 2010
- 734
- 85
Ndugu zangu nianze kwa kusema mi sina undugu na Lowasa wala sifahamiani naye zaidi ya kumwona kwenye vyombo vya habari lakini nimekuwa na IMANI naye kubwa tangu zamani na nimekuwa nikiwaeleza watu uzuri na faida ya lowasa kwa taifa letu,wengi wamekuwa wakionesha kumkubali ila wanadai ni fisadi jambao ambalo hawawezi kuthibitisha.
Sasa ninashukuru Mungu lowassa amechukua ushauri wangu wakueleza ukweli KWAMBA YEYE SI GAMBA kwani alimshauri raisi mapema kabisa kwa kuuvunja mkataba wa Richmond lakina raisi akakataa kwa kisingizio makatibu wakuu wamemkataza.sasa Gamba ni nani? Hapa,je? Ni raisi aliyeukingia kifua au makatibu wakuu?,mi naona mungu ameamua kuikomboa TANZANIA.nianze kueleza faida za lowassa kuwa raisi wetu 2015.
1. Lowassa ni mchapa kazi tunaona namna alikuwa akitenda wakati akiwa waziri alikuwa akiwa na ziara mkoani kila mtu alikuwa anajiaanda mpaka makondakta walikuwa wanavyaa sare, nchi ilikuwa inahofu katika uwajibikaji lakini tangu amekuja kipenzi cha watanzania mtoto wa mkulima mzee wakulia na mzee asiyona maamuzi kazi yake ni kuomba tu ili hali anamamlaka ya kikatibu, hivyo dhana ya uchapakazi kwetu inatija kwanchi yetu,tunamwitaji lowasa amalizie shule za kata ambazo aliwai kusema hakupanga ziwe kama zilivyo leo.
2. Lowassa amechafuka sana hivyo anahasira ya kujisafisha jambo ambalo litafanya ajitume kuejesha heshima yake pia hana uccm tena kwani wengi wamejitokeza kumponda hili lina tija kwetu wananchi kwani serikali ya kishikaji itaishia 2015 wakati huo wakina nape watakuwa wamestaafu siasa baada ya kutumiwa kama kisemeo cha ba riz.
3. Lowassa anathubutu kufanya maamuzi magumu kumbukeni mradi wa maji shinyanga ambao alitakiwa na sheria kuomba kibali cha kuchukua maji ziwa Victoria kutoka misri lakini alifanya kwa faida ya watanzania bila kuogopa nchi za magharibi.
Hakika lowassa anastahili kuwa raisi kama CCM inataka ibaki hai vinginevyo wamwache Dr slaa aende ikulu japo mmbowe naye ameanza kumpinga slaa naye mmbowe ni gamba la aina yake anataka yeye awe raisi wakati sisi wananchi tunamtaka slaa na huu ni mpango wa wanafiki wanajiita wanaharakati,wahataki watu wachapa kazi waingie ikulu zaidi wanataka vibaraka wao ambao watalinda biashara zao.
4. Lowassa anakubalika ndani ya chama,watendaji wa kati na wachini wengi wanamkubali lowassa kama ccm ikimsimamisha kazi itakuwa nyepesi kuliko ilikuwa na huu anayepita. MWISHO NDUGU ZANGU LOWASA ANAFAA KUWA RAISI WETU tofauti naye CCM hakuna wengi ni wanafiki tu.na kama haitakuwa hivyo Chadema juweni mtu ambaye watanzania wanaimani naye dani ya cdm ni DR SLAA kama mpango wa kutomsimamisha utafanikiwa basi mjuwe chadema imefikia KIFO chake.
Huu ni mtazamo wangu usio na ushabiki wa pande wowote.LOWASSA USIOGOPE WATANZANIA WENGI WANAKUPENDA.
Sasa ninashukuru Mungu lowassa amechukua ushauri wangu wakueleza ukweli KWAMBA YEYE SI GAMBA kwani alimshauri raisi mapema kabisa kwa kuuvunja mkataba wa Richmond lakina raisi akakataa kwa kisingizio makatibu wakuu wamemkataza.sasa Gamba ni nani? Hapa,je? Ni raisi aliyeukingia kifua au makatibu wakuu?,mi naona mungu ameamua kuikomboa TANZANIA.nianze kueleza faida za lowassa kuwa raisi wetu 2015.
1. Lowassa ni mchapa kazi tunaona namna alikuwa akitenda wakati akiwa waziri alikuwa akiwa na ziara mkoani kila mtu alikuwa anajiaanda mpaka makondakta walikuwa wanavyaa sare, nchi ilikuwa inahofu katika uwajibikaji lakini tangu amekuja kipenzi cha watanzania mtoto wa mkulima mzee wakulia na mzee asiyona maamuzi kazi yake ni kuomba tu ili hali anamamlaka ya kikatibu, hivyo dhana ya uchapakazi kwetu inatija kwanchi yetu,tunamwitaji lowasa amalizie shule za kata ambazo aliwai kusema hakupanga ziwe kama zilivyo leo.
2. Lowassa amechafuka sana hivyo anahasira ya kujisafisha jambo ambalo litafanya ajitume kuejesha heshima yake pia hana uccm tena kwani wengi wamejitokeza kumponda hili lina tija kwetu wananchi kwani serikali ya kishikaji itaishia 2015 wakati huo wakina nape watakuwa wamestaafu siasa baada ya kutumiwa kama kisemeo cha ba riz.
3. Lowassa anathubutu kufanya maamuzi magumu kumbukeni mradi wa maji shinyanga ambao alitakiwa na sheria kuomba kibali cha kuchukua maji ziwa Victoria kutoka misri lakini alifanya kwa faida ya watanzania bila kuogopa nchi za magharibi.
Hakika lowassa anastahili kuwa raisi kama CCM inataka ibaki hai vinginevyo wamwache Dr slaa aende ikulu japo mmbowe naye ameanza kumpinga slaa naye mmbowe ni gamba la aina yake anataka yeye awe raisi wakati sisi wananchi tunamtaka slaa na huu ni mpango wa wanafiki wanajiita wanaharakati,wahataki watu wachapa kazi waingie ikulu zaidi wanataka vibaraka wao ambao watalinda biashara zao.
4. Lowassa anakubalika ndani ya chama,watendaji wa kati na wachini wengi wanamkubali lowassa kama ccm ikimsimamisha kazi itakuwa nyepesi kuliko ilikuwa na huu anayepita. MWISHO NDUGU ZANGU LOWASA ANAFAA KUWA RAISI WETU tofauti naye CCM hakuna wengi ni wanafiki tu.na kama haitakuwa hivyo Chadema juweni mtu ambaye watanzania wanaimani naye dani ya cdm ni DR SLAA kama mpango wa kutomsimamisha utafanikiwa basi mjuwe chadema imefikia KIFO chake.
Huu ni mtazamo wangu usio na ushabiki wa pande wowote.LOWASSA USIOGOPE WATANZANIA WENGI WANAKUPENDA.