Usipokuwa makini hivi vitu vitakushushia heshima

-kuweka mlio wa mchiriku kwenye simu yako
-kuvaa soksi zenye matundu
-Kuhadithia muvi za akina Kanumba...
-kujitazama kwenye vioo vya madirishani
-kuvaa suruali ya kitambaa ndani una kibukta
- kuvaa nguo zenye mapichapicha
-kuvaa viatu vilivyoisha sole na vilivyopinda kwa nje
-kuvaa mapetepete kibao mikononi
-kutembea na makaramu mengi kwenye mfuko wa shati
-kuvaa mkanda wa bakozi au wautambi

Mengine mtaendeleza nyie
Tumbo kujaa gesi ukiwa ukweni mbele ya wake😐😐
 
-- kuhadithia movie za akina kanumba.
-- kuvaa suruali ya kitambaa ndani umevaa bukta.
_ kuweka makaramu( makalamu) mengi mfuko wa shati.
-- kuvaa T-shirt lenye mapicha picha.
-- mkanda wa bakoz ni upi?
Hebu fafanuwa hyo heshima utaivunja vipi?
Ushawahi kufanya kipi kati ya hivyo kwa kuanzia
 
Ukitaka heshima tafta pesa yote hayo hata ukiyafanya utaonekana mjanja tyu
 
mkuu wewe inaonekana hujatoka nje ya chato bado maana hivyo ulivyoandika hapo vyote sioni kama kuna mtu anafanya siku hizi...
 
Back
Top Bottom