cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 85,613
- 137,357
nimecheka had bas, kuna rafiki angu anapenda hivo had kero.Kula miguu ya kuku/utumbo wa kuku/kichwa cha kuku.
nimecheka had bas, kuna rafiki angu anapenda hivo had kero.Kula miguu ya kuku/utumbo wa kuku/kichwa cha kuku.
Tumbo kujaa gesi ukiwa ukweni mbele ya wake😐😐-kuweka mlio wa mchiriku kwenye simu yako
-kuvaa soksi zenye matundu
-Kuhadithia muvi za akina Kanumba...
-kujitazama kwenye vioo vya madirishani
-kuvaa suruali ya kitambaa ndani una kibukta
- kuvaa nguo zenye mapichapicha
-kuvaa viatu vilivyoisha sole na vilivyopinda kwa nje
-kuvaa mapetepete kibao mikononi
-kutembea na makaramu mengi kwenye mfuko wa shati
-kuvaa mkanda wa bakozi au wautambi
Mengine mtaendeleza nyie
Ushawahi kufanya kipi kati ya hivyo kwa kuanzia-- kuhadithia movie za akina kanumba.
-- kuvaa suruali ya kitambaa ndani umevaa bukta.
_ kuweka makaramu( makalamu) mengi mfuko wa shati.
-- kuvaa T-shirt lenye mapicha picha.
-- mkanda wa bakoz ni upi?
Hebu fafanuwa hyo heshima utaivunja vipi?
Ingia ujioneeMadude gani haya
Ni channel yangu ya telegramSema kwanza nisije nikamaliza bando
Kubet mkuuInahusu nini
Hapana mkuu, hiyo ni free channelUnakuwa unawauzia watu mikeka au