Mkuu vipi we umecheka??sijawahi kutukana ila umentamanisha nikutukane... ikishachuja hii
hapana boss halaf hii mbona tulishasomaga kitambo sanaMkuu vipi we umecheka??
Ndo hapo sasa,sioni cha mtu kucheka hapohapana boss halaf hii mbona tulishasomaga kitambo sana
Yaan ww ndo umenichekesha,na sio huyo boyaUyu atakuwa shamba boy kanunuliwa smart phone![]()
Kula laiki yangu ya nguvuUyu atakuwa shamba boy kanunuliwa smart phone![]()
Due hii Kali jamani mtatuvunja mbavu nimecheka mpaka nimedondoka wakaanza kunipepea nilipozinduka nikawahadhia nao wakadondoka chini puuu nami nikaanza kuwapepea kuna mzee w a makamo kama miaka 65 hivi kacheka mpaka kazimia nimeacha wanammwagia maji ya barafuHii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa
Wazazi wengine wanaandika MBWA?MKALI kwenye geti lao kama binti wao ana miaka 18..
Binti akifika miaka 30 na hajaolewa wanapabadilisha na kuandika TUNAUZA BARAFU
View attachment 738172
Hopeless!Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa
Wazazi wengine wanaandika MBWA?MKALI kwenye geti lao kama binti wao ana miaka 18..
Binti akifika miaka 30 na hajaolewa wanapabadilisha na kuandika TUNAUZA BARAFU
View attachment 738172
Hapana ila comments kazipata.Je kuna mtu amechekeshwa?????