Nimemeza kabisa kabla ya kufungua ,nimeambulia patupu.
cha mara hiki lol!Kitakuwa kitu cha Arusha hiki au Malawi!
binti gani?Mi sijameza mate basi nina matatizo lol :smile-big:
huyo hapana,hata duniani mwanamke angekuwa mmoja nisingemtongozaAlimaanisha huyu:
Nani anafaham jina na kazi ya huyu binti?
Ha ha ha aiseee ndio maana sijayameza!!!ungeweza kummezea mate binti mwenzio?
Ha ha ha aiseee ndio maana sijayameza!!!