Usipitwe na hii

Usipitwe na hii

Winston Mtanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2014
Posts
340
Reaction score
117
Hii Inakuhusu sana, hebu Izingatie.

Mkutano mkubwa wa Injili kwa wakazi wote wa Bukoba na majirani.

Karismatiki Katoliki Taifa, kwa Idhini ya Baba Askofu wa Jimbo Katoliki la Bukoba, wanakuletea Mkutano mkubwa wa Injili iponyayo Roho, Nafsi na Mwili.
Ni katika Viwanja vya Kaitaba Mjini Bukoba kuanzia tarehe 7 hadi 20 mwezi wa saba (Julai) kila siku kuanzia saa 9:00 Alasiri hadi 12:00 jioni.
Aidha kutakuwa na semina mahususi kwa watawa wote wa jimbo (mapadre na masista).

Vikao vya maandalizi ya Mkutano huu muhimu vinaendelea Emaus - Ubungo Dar es Salaam, Mwanza na Bukoba. Mawasiliano hapo chini;

Katika kufanikisha mkutano huu, jitahidi kuhudhuria pasipo kukosa maana Mwenyezi Mungu analo jambo la kusema nawe. Waalike na kuwajulisha ndugu, jamaa na marafiki wahudhurie maana sisi sote tunahusika.

Unaombwa kwa dhati sana, changia mchango wako wa hali na mali katika kulifikisha Neno hili la Mungu pasipo kukwama.
Gharama ya mkutano na semina zote ni zaidi ya shilingi milioni 70 za kitanzania (tsh 70 mil.) Changia Injili, baraka zikufikie wewe na familia yako.

Kwa mawasiliano zaidi, wasiliana na;
Ndugu Estelatus Mtema
Mratibu Katoliki Karismatiki Taifa
Simu no: 0754240886/0716240886

Au,

Ndugu Ladislaus Mulokozi
Mwinjilisti Jimbo la Dsm
Simu no: 0754060496/0787816278

Tumsifu Yesu Kristo....
 
Peleka Injili ya Bwana kila kona......Watu wa Bukoba Neema imekuja kwenu....kazi ni kwenu sasa....

Tumsifu Yesu Kristo.....
 
Siku ya Leo kila thread nikifungua nakutana na Jina Takatifu la Yesu Kristo Mfalme. wa Wafalme... ..Dahhhh

Leo! mpka watu wa deen yetu wanalitaja Jina hili kuu....Dahhhh

Tumsifu Yesu Kristo .
 
Hii Inakuhusu sana, hebu Izingatie.

Mkutano mkubwa wa Injili kwa wakazi wote wa Bukoba na majirani.

Karismatiki Katoliki Taifa, kwa Idhini ya Baba Askofu wa Jimbo Katoliki la Bukoba, wanakuletea Mkutano mkubwa wa Injili iponyayo Roho, Nafsi na Mwili.
Ni katika Viwanja vya Kaitaba Mjini Bukoba kuanzia tarehe 7 hadi 20 mwezi wa saba (Julai) kila siku kuanzia saa 9:00 Alasiri hadi 12:00 jioni.
Aidha kutakuwa na semina mahususi kwa watawa wote wa jimbo (mapadre na masista).

Vikao vya maandalizi ya Mkutano huu muhimu vinaendelea Emaus - Ubungo Dar es Salaam, Mwanza na Bukoba. Mawasiliano hapo chini;

Katika kufanikisha mkutano huu, jitahidi kuhudhuria pasipo kukosa maana Mwenyezi Mungu analo jambo la kusema nawe. Waalike na kuwajulisha ndugu, jamaa na marafiki wahudhurie maana sisi sote tunahusika.

Unaombwa kwa dhati sana, changia mchango wako wa hali na mali katika kulifikisha Neno hili la Mungu pasipo kukwama.
Gharama ya mkutano na semina zote ni zaidi ya shilingi milioni 70 za kitanzania (tsh 70 mil.) Changia Injili, baraka zikufikie wewe na familia yako.

Kwa mawasiliano zaidi, wasiliana na;
Ndugu Estelatus Mtema
Mratibu Katoliki Karismatiki Taifa
Simu no: 0754240886/0716240886

Au,

Ndugu Ladislaus Mulokozi
Mwinjilisti Jimbo la Dsm
Simu no: 0754060496/0787816278

Tumsifu Yesu Kristo....


Yesu hakuchangisha watu michango...
 
Yesu hakuchangisha watu michango...

Hili ni jambo ni kubwa kuliko uwezo wako na ufahamu wako wa biblia, ebu jibu haya maswali
1. Yesu alilala wapi akiwa ugenini, vipi kuhusu gharama za maisha yake binafsi aluzitoa wapi au unafikiri aliranda mbao za baba mlishi wake
2. Yesu alisafiri kwa usafiri gani, je hawa nao wanaweza kuutumia, kama sivyo watafikaje huko waendako?
3. Yesu alikuwa anapataje chakula chake, je na hawa wanaweza pata kwa njia hizo?
4. Vipi yesu alikuwa na family aliyotakiwa kuihudumia kwa chakula, malazi na mavazi, matibabu na elimu ambapo alitakiwa kutoa huduma hizo kwa wanafamily wake, vipi hawa unafikiri wanapoacha shughuli za uzalishaji za family unafikiri family zao zinakuwa na hali gani.

CHANGIA YALE ULIYO NAUWEZO NAYO MENGINE SOMA TU BILA KUCHANGIA
 
Hili ni jambo ni kubwa kuliko uwezo wako na ufahamu wako wa biblia, ebu jibu haya maswali
1. Yesu alilala wapi akiwa ugenini, vipi kuhusu gharama za maisha yake binafsi aluzitoa wapi au unafikiri aliranda mbao za baba mlishi wake
2. Yesu alisafiri kwa usafiri gani, je hawa nao wanaweza kuutumia, kama sivyo watafikaje huko waendako?
3. Yesu alikuwa anapataje chakula chake, je na hawa wanaweza pata kwa njia hizo?
4. Vipi yesu alikuwa na family aliyotakiwa kuihudumia kwa chakula, malazi na mavazi, matibabu na elimu ambapo alitakiwa kutoa huduma hizo kwa wanafamily wake, vipi hawa unafikiri wanapoacha shughuli za uzalishaji za family unafikiri family zao zinakuwa na hali gani.

CHANGIA YALE ULIYO NAUWEZO NAYO MENGINE SOMA TU BILA KUCHANGIA

Haya uweke na maandiko kutetea point zako, soma Matendo 20:33-35 uone waliofanya kazi hiyo walifanyaje?
 
Back
Top Bottom