Hahahaa !!! Tatizo ulicheka na nyan mpaka wakakuona bwege dunia hii ya sasa hutakiw kutabilika mm ni both kauzu na kuna mda huwa naongea na watu watu wakihoji mbona jana ujasalimia nawaambia kuna sehemu nilikuwa nawah yaan salamu huwa haitabilik naweza kukusalimia au nisikusalimie yaan ni mtata