Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 51,206
- 22,438
Kama mjazito jitahidi usipande hizi dcm utamtoa mtoto kabla ya muda.Leo tumepanda basi dereva anarusha watu ovyo mpaka aibu mama mmoja ana ujawepesi akazirai ghafla.Tukamshusha na kukimbiza kwenye tax to hospital.
Hata ukiwa kwenye siku zetu si gari za kupanda hata kidogo.
Angalizo tu
Hata ukiwa kwenye siku zetu si gari za kupanda hata kidogo.
Angalizo tu