Usipambane sana

Usipambane sana

Napenda sana wanangu wakue nje ya nchi hii ili wajenge mentality ya kuishi bila kujipendekeza.

Maana hapa nyumbani ili utoboe lazima ujidhalilishe kwa wakubwa na watakupenda.
 
Napenda sana wanangu wakue nje ya nchi hii ili wajenge mentality ya kuishi bila kujipendekeza.

Maana hapa nyumbani ili utoboe lazima ujidhalilishe kwa wakubwa na watakupenda.
Kujidhalilisha ni chaguo, wapo wanaoabudu watu badala ya Mungu kila mahali.
..................................
Wafundishe wanao kujitambua kuwa wao ni binadamu na wana uwezo wa kuamua juu ya maisha yao. Waambie kila kitu ni chaguo na hakuna kimpatacho mtu isipokuwa amekichagua na kukiruhusu kwa kujua au kutokujua.
 
Ni kweli ulichosema mkuu ukipata adui unaemmudu muombee dua...je?..wewe ukiwa unapitia magumu wao watakuombea dua??....hapo ndipo panapotufanya wengine tubadirike tulizaliwa tukiwa na roho nzuri kama ya mtume muhammad lakini leo kutokana na ya walimwengu tumekuwa na roho kama ya shetani
Hivi Bosi lile wazo lako la kuongeza mke wa pili bado unalo tu???
 
Napenda sana wanangu wakue nje ya nchi hii ili wajenge mentality ya kuishi bila kujipendekeza.

Maana hapa nyumbani ili utoboe lazima ujidhalilishe kwa wakubwa na watakupenda.
Kumbe kule kujitowa akili kote ndio umekuja kulijuwa leo?
 
Back
Top Bottom