Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 9,473
- 19,269
- Thread starter
- #21
actually, umalaya ni dhambi, na wanatakiwa kusaidiwa, kwasababu sio umalaya tu ndio dhambi, kuna watu wana dhambi kuliko malaya lakini kutwa wamekalia kunyoosha vidole kwa malaya. kwa Mungi usijihesabie haki sana, hao uliowataja pamoja na umalaya wao lakini wamekuwa historia kwenye Bible.Unamkumbuka Rahabu wa kwenye Biblia?, Unamkumbuka yule mwanamke mdhambi aliyelia na kondosha machozi yake miguuni pa Yesu??. Naomba tuanzie hapo kwanza.