Usiombe yakukute jamani, daah!!!

Duuu pole mkuu yalishanikuta mwezako mpk Leo nawaogopa nilitamn kuama mji mkuu ila nashukur mungu uzim upo
 
Mkuu mwanamke anajileta analala akutege kwa ujasiri bila aibu, nawe una uvaa mkenge 😱.
Kwa ujasiri alioufanya huyo mwanamke ulitakiwa ushtuke na umpeleleze zaidi.
nikarudi kama saa nne usiku,nikamkuta amelala kabisa,amevua blauzia na amevaa chupi na kanga tu!
 
Hii ni psychiatric case mpeleke Bombo aonwe na wataalamu wa ubongo na fahamu.
 
Kupitia somo lako hope wengi watajifunza, jambo hili ni common sana kwa maisha ya sasa ambapo ajira zinachangia kutenganisha wazazi, ntakushauri nikipata muda ila cha kwanza acha Tamaa ya zinaa
 
Mimi nina kisa changu kiasi flani kinataka kufanana na chako. Nikiamua kukielezea hapa jukwaa litasimama.
Ni historia ambayo imenifanya niyaone mapenzi yanaweza kuleta huzuni kubwa sana. Unajikuta upo katikati na kila mtu anakuhitaji na unashindwa umchukue yupi umwache yupi. Acha kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…