Usiombe mwanamke akuchoke!

Usiombe mwanamke akuchoke!

dalalitz

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2013
Posts
3,475
Reaction score
2,078
HII SI HADITHI.
Mwanzoni alisema Namfikisha. Yaani namkuna akakunika, hajawahi kupagawishwa kiasi nilichomfikisha mimi.
Na kunishangaa eti, Mimi ni Mchaga waajabu.
Namnukuu siku moja,"Hee kweli tembea uone, Kumbe kuna wachaga watundu na wajuzi kwenye mahaba kiasi hiki?"
(Kumbuka nilimuongopea kuwa mimi ni Mchaga)
Nukuu ya Pili, tukiwa faraghani,"Huku akijilambalamba midomo kwa raha niliyokuwa nikimpa, "Mangi nimekoj..a, Nimepiga bao-taaaaaaamu kweeeeli huwezi amini haijawahi kunitokea kiasi hiki, --Asante sana baby wangu".

Kipindi hicho wala sikuwa mzoefu kiviile, nilikuwa bado nabahatisha kunako medani za Kupeana raha za kimapenzi.

Basi, Si unajua hakuna marefu yasiyokuwa na ncha?
Yakatokea yaliyotokea, Ikawa hakuna jinsi bali kila mmoja wetu kuchukua njia yake,

Kashfa zikaanza,"Mh! Nilikuwa nakuvumilia tu lakini ulikuwa unanidhulumu kwa kweli, sikuwa nafaidi kitu penzi kabisa, Najuta,
Namimi nikikumbuka kauli zake za zamani,
Najitutumua ili nijibu mapigo kwa reference ya ushuhuda wake wa siku za nyuma,
"Huwezi kupata mpenzi kama mimi hata ufanyeje,
Yeye anajibu" Heheeeya, Umelogwa wewe, Kwanza tangia lini Mchaga akajua Mapenzi?
Kwanza hujawahi kunifikisha hata siku moja, Wapo Vidume waliojaaliwa yaani ulikuwa unanipaka shombo tu".
Mimi mhh!!!?

Sasa sijui niamini kipi?
Mwanamke akikuchoka,......
 
kumbe uliwahi muongopea we mchaga!!? Kweli Nivea lazima avune alichopanda
 
Last edited by a moderator:
Ukiona mwanamke umehachana nae alafu anakukandia na kukukashfu ujue huyo anakupenda huyo mtarudiana. Pia ukimuona mwanamke mmeachana arafu hasema chochote juu yako ujue huyo hakupendi na hamuwezi rudiana tena.
 
naona kuoanisha subject na heading ni ngoma. mada kuu hapo naona unawananga tu akina Mentor
HII SI HADITHI.
Mwanzoni alisema Namfikisha. Yaani namkuna akakunika, hajawahi kupagawishwa kiasi nilichomfikisha mimi.
Na kunishangaa eti, Mimi ni Mchaga waajabu.
Namnukuu siku moja,"Hee kweli tembea uone, Kumbe kuna wachaga watundu na wajuzi kwenye mahaba kiasi hiki?"
(Kumbuka nilimuongopea kuwa mimi ni Mchaga)
Nukuu ya Pili, tukiwa faraghani,"Huku akijilambalamba midomo kwa raha niliyokuwa nikimpa, "Mangi nimekoj..a, Nimepiga bao-taaaaaaamu kweeeeli huwezi amini haijawahi kunitokea kiasi hiki, --Asante sana baby wangu".

Kipindi hicho wala sikuwa mzoefu kiviile, nilikuwa bado nabahatisha kunako medani za Kupeana raha za kimapenzi.

Basi, Si unajua hakuna marefu yasiyokuwa na ncha?
Yakatokea yaliyotokea, Ikawa hakuna jinsi bali kila mmoja wetu kuchukua njia yake,

Kashfa zikaanza,"Mh! Nilikuwa nakuvumilia tu lakini ulikuwa unanidhulumu kwa kweli, sikuwa nafaidi kitu penzi kabisa, Najuta,
Namimi nikikumbuka kauli zake za zamani,
Najitutumua ili nijibu mapigo kwa reference ya ushuhuda wake wa siku za nyuma,
"Huwezi kupata mpenzi kama mimi hata ufanyeje,
Yeye anajibu" Heheeeya, Umelogwa wewe, Kwanza tangia lini Mchaga akajua Mapenzi?
Kwanza hujawahi kunifikisha hata siku moja, Wapo Vidume waliojaaliwa yaani ulikuwa unanipaka shombo tu".
Mimi mhh!!!?

Sasa sijui niamini kipi?
Mwanamke akikuchoka,......
 
HII SI HADITHI.
Mwanzoni alisema Namfikisha. Yaani namkuna akakunika, hajawahi kupagawishwa kiasi nilichomfikisha mimi.
Na kunishangaa eti, Mimi ni Mchaga waajabu.
Namnukuu siku moja,"Hee kweli tembea uone, Kumbe kuna wachaga watundu na wajuzi kwenye mahaba kiasi hiki?"
(Kumbuka nilimuongopea kuwa mimi ni Mchaga)
Nukuu ya Pili, tukiwa faraghani,"Huku akijilambalamba midomo kwa raha niliyokuwa nikimpa, "Mangi nimekoj..a, Nimepiga bao-taaaaaaamu kweeeeli huwezi amini haijawahi kunitokea kiasi hiki, --Asante sana baby wangu".

Kipindi hicho wala sikuwa mzoefu kiviile, nilikuwa bado nabahatisha kunako medani za Kupeana raha za kimapenzi.

Basi, Si unajua hakuna marefu yasiyokuwa na ncha?
Yakatokea yaliyotokea, Ikawa hakuna jinsi bali kila mmoja wetu kuchukua njia yake,

Kashfa zikaanza,"Mh! Nilikuwa nakuvumilia tu lakini ulikuwa unanidhulumu kwa kweli, sikuwa nafaidi kitu penzi kabisa, Najuta,
Namimi nikikumbuka kauli zake za zamani,
Najitutumua ili nijibu mapigo kwa reference ya ushuhuda wake wa siku za nyuma,
"Huwezi kupata mpenzi kama mimi hata ufanyeje,
Yeye anajibu" Heheeeya, Umelogwa wewe, Kwanza tangia lini Mchaga akajua Mapenzi?
Kwanza hujawahi kunifikisha hata siku moja, Wapo Vidume waliojaaliwa yaani ulikuwa unanipaka shombo tu".
Mimi mhh!!!?

Sasa sijui niamini kipi?
Mwanamke akikuchoka,......

huyo alikuwa mke ama mpenzi tu? kama siyo mke achana naye atakupotezea wakati!
kwa nini ulimdanganya kuwa wewe ni mchaga? au ulitaka kumtishia kwamba akitembea na mtu ,mwingine unamraba risasi (joke)? kudanganyana huleta hali ya kutoaminiana katika mahusiano yoyote!
kwenye bold na italics- wewe hujui ya kuwa siku hizi faking orgasm ni kubwa sana hasa kwa wanawake ili akuridhishe wewe baada ya kuona kwamba huna uwezo wa kumkuna kunako kipele na kumfikisha "everist" penyewe?
 
R.kelly aliwahi kuimba, when a woman fed up nothing you can do. Jaribu ku contact nae labda amepata dawa yake.
 
Muungwana akivuliwa nguo huchutama, mwache aseme yeye wewe kaa kimnya, yeye pia anamapungufu yake kwenye hayo mapenzi ila uliyakubali, sasabasi yeye akikushinda kusema wewe mshinde kunyamaza..
 
Hivi nikweli ama nikamsemo tu kwamba hawajui mapenzi? Ila kwa uzoefu wangu na hawa watu ni sifuri japo siamini kama asilimia kubwa wako hivi.
 
Back
Top Bottom