Dawa ni moja, chemsha maji hadi nyuzi joto 99 kwenye masufuria makubwa, kisha yamwagie hayo maji kwenye mbao zote za kitanda, kona zote za sakafu, masofa yote, mbao zote na nguo zote loweka humo.., hawaponi.
Kisha anika nje hadi yakauke vizuri kwenye jua