Tuttyfruity
JF-Expert Member
- Dec 3, 2017
- 2,414
- 6,389
Usioe maskini, mara usioe nwanamke aliesoma, hujakaa sawa unakutana na Uzi unasema usioe mwanamke ambae sio bikra, ukipita huku unakutana na mwingine anadai mke mjeuri kisa anafanya kazi. Kuna wengine wanadiriki kusema usioe mwanamke wa kimbulu.
Swali linakuja kwa nyie wanaume. Mnataka nini haswa? Hamueleweki
Swali linakuja kwa nyie wanaume. Mnataka nini haswa? Hamueleweki