Usinichafue Mie-Mchafu Wewe!

Sura-ya-Kwanza

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2007
Posts
568
Reaction score
12
Kwa kweli sasa Siasa zinapamba moto... Wakati 2010 haiko mbali, wana itikadi wadai- Wanawake, Vijana na Wazazi wa CCM ni Wachafu mno...😱

Wanalumbana kusivyo.

Hivyo, marufuku kumchafua Kijana, Mwanamke au Mzazi wa mwana CCM!

Kwa habari Zaidi Bofya hapa...

Nafikiri Siasa itakuwa haina moto kama sitaweza kuwachafua wenzangu--Hautakuwa mchezo mzuri kuwa sopu sopu saa zote.

Au vipi Wasafi Wenzangu?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…