Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,627
Yaan sijui nna matatizo gani.
Usingizi napata kwa taabu sana. Muda mwingine navusha usiku mzima bila kulala huku mwenzangu akikoroma kisawasawa.
Lakini nikipata safari ndogo mbili tatu baaasi. Nikidondoka dakika 10 nyingi nshaanza kusinzia.
Nini sababu ya kutopata usingizi mapema?
Nini tiba yake?
Alamsiki!
Usingizi napata kwa taabu sana. Muda mwingine navusha usiku mzima bila kulala huku mwenzangu akikoroma kisawasawa.
Lakini nikipata safari ndogo mbili tatu baaasi. Nikidondoka dakika 10 nyingi nshaanza kusinzia.
Nini sababu ya kutopata usingizi mapema?
Nini tiba yake?
Alamsiki!