M Mzee Lupa Member Apr 5, 2012 59 8 Apr 6, 2012 #1 Habari wanajf wenzangu Mwenzenu ninasinzia sana kazini najitahidi kujzui siwez ...naomba mnisaidie dawa yake ni nn?
Habari wanajf wenzangu Mwenzenu ninasinzia sana kazini najitahidi kujzui siwez ...naomba mnisaidie dawa yake ni nn?
NdasheneMbandu JF-Expert Member Jan 2, 2012 940 308 Apr 6, 2012 #2 Mzee Lupa said: Habari wanajf wenzangu Mwenzenu ninasinzia sana kazini najitahidi kujzui siwez ...naomba mnisaidie dawa yake ni nn? Click to expand... Acha pombe na usiku wahi kulala upate muda mzuri wa kumpumzika. Ukiona hali inaendelea ujue una ugonjwa wa sleeping sickness unaoambukizwa na mbung'o.
Mzee Lupa said: Habari wanajf wenzangu Mwenzenu ninasinzia sana kazini najitahidi kujzui siwez ...naomba mnisaidie dawa yake ni nn? Click to expand... Acha pombe na usiku wahi kulala upate muda mzuri wa kumpumzika. Ukiona hali inaendelea ujue una ugonjwa wa sleeping sickness unaoambukizwa na mbung'o.