Usilolijua Kuhusu LOWASA na CCM

Usilolijua Kuhusu LOWASA na CCM

Ni kweli kabisa. Wala hiyo sio discovery! It is something one feels naturally-just like harufu ya pilau ukikuta inapikwa, you do not need to be told to smell it.

BELIEVE OR NOT,

Leo pangefanyika Uchaguzi wa kumshindanisha LOWASA kwa upande mmoja na CCM upande mwingine, LOWASA atapata ushindi wa KIMBUNGA!

Truth Shall Remain!
 
Nyie watu ndio munamfanya mwenzenu azidi kupoteza hela zake kwa kumdanganya kuwa anakubalika, sasa ngoja huo wakati ufike atakapovaa suruali kichwani kwa kuchanganyikiwa baada ya kushindwa, sijui mutaiambia nini familia yake.
 
Kwahiyo unataka kumuambia nini Makonda kwenye lile tamko lao.
 
Nilipoona anaangukia pua pale Arumeru na kushindwa kumtetea mme wa mwanae mbele ya Nassari,sikuhitaji kuambiwa kuwa sasa mamvi kwishney,mwache arudishe walau vichenji alivyotuibia lakini urais atausoma kwenye media.
 
Nyie watu ndio munamfanya mwenzenu azidi kupoteza hela zake kwa kumdanganya kuwa anakubalika, sasa ngoja huo wakati ufike atakapovaa suruali kichwani kwa kuchanganyikiwa baada ya kushindwa, sijui mutaiambia nini familia yake.

Kaka Lowassa ananguvu sana katika chama na hata kwa umma. Wasimchukulie poa viongozi wa juu kwa kuwa anakashfa. Wajipange kumuweka sawa na kukubariana, kama wanampitisha mtu mwingine awe rais basi wahakikishe lowassa anawasapoti pia kwenye kampeni. Wakimfukuza lowassa kwenye chama chadema wanachukua nchi mchana kweupe tena alfajiri tu.
 
BELIEVE OR NOT,

Leo pangefanyika Uchaguzi wa kumshindanisha LOWASA kwa upande mmoja na CCM upande mwingine, LOWASA atapata ushindi wa KIMBUNGA!

Truth Shall Remain!

Jina lako na mawazo vinaendana sana. Unaeneza malaria kwenye jamii forums
We kweli anofelesi
 
Lowasa nakukubali sana kama uko jamii forum ni PM niwe campaigner wako mkoani kwetu, Your more than CCM
 
BELIEVE OR NOT,

Leo pangefanyika Uchaguzi wa kumshindanisha LOWASA kwa upande mmoja na CCM upande mwingine, LOWASA atapata ushindi wa KIMBUNGA!

Truth Shall Remain!

Naona umeamua kumfurahisha Pasco
 
Last edited by a moderator:
Kumbe ccm hakuna watu, kuna misukule tu, kama fisadi aliyekubuhu kama Lowasa, anaweza uishinda ccm yote, kuna nini tena hapo, mwingine anamwita Lowasa kaka, umeanza lini ukaka wa wewe na Lowasa, au baada ya kwenda kula wali na nyama alivyopika nyumbani kwake na kuwalika nyinyi mazuzu, aibu yenu wenyewe hiyo, mtu anazingua chama mnashindwa kumuazibu, kwisha habari yenu, angalieni wenzenu CHADEMA, kizitto kilileta ujinga, kikachiliwa mbali, saizi kinafanyia siasa mahakamani.
 
Kumbe ccm hakuna watu, kuna misukule tu, kama fisadi aliyekubuhu kama Lowasa, anaweza uishinda ccm yote, kuna nini tena hapo, mwingine anamwita Lowasa kaka, umeanza lini ukaka wa wewe na Lowasa, au baada ya kwenda kula wali na nyama alivyopika nyumbani kwake na kuwalika nyinyi mazuzu, aibu yenu wenyewe hiyo, mtu anazingua chama mnashindwa kumuazibu, kwisha habari yenu, angalieni wenzenu CHADEMA, kizitto kilileta ujinga, kikachiliwa mbali, saizi kinafanyia siasa mahakamani.
 
Nilipoona anaangukia pua pale Arumeru na kushindwa kumtetea mme wa mwanae mbele ya Nassari,sikuhitaji kuambiwa kuwa sasa mamvi kwishney,mwache arudishe walau vichenji alivyotuibia lakini urais atausoma kwenye media.

Yaani wewe ndio ungekuwa mwanzilishi wa hii mada maana angalau umetumia facts kufikia hitimisho.
 
Kwahiyo unamaanisha Makonda anapiga ngumi upepo? Ila nadhani wewe unataka kumchonganisha Laigwanani mwacheni ila siku akifunguka maana tangu alipojiuzuru kwenye cheo cha PM aliamua kuwa kimya tu.

BELIEVE OR NOT,

Leo pangefanyika Uchaguzi wa kumshindanisha LOWASA kwa upande mmoja na CCM upande mwingine, LOWASA atapata ushindi wa KIMBUNGA!

Truth Shall Remain!
 
Back
Top Bottom