Kaka Lowassa ananguvu sana katika chama na hata kwa umma. Wasimchukulie poa viongozi wa juu kwa kuwa anakashfa. Wajipange kumuweka sawa na kukubariana, kama wanampitisha mtu mwingine awe rais basi wahakikishe lowassa anawasapoti pia kwenye kampeni. Wakimfukuza lowassa kwenye chama chadema wanachukua nchi mchana kweupe tena alfajiri tu.
ipatikane tume huru au hapana,2015 ccm wakithubutu kufanya vote rigging kama walivyojizoesha ktk chaguzi zilizopita,lazima umwagaji damu utatokea.tuombe mungu yaliyotokea kenya 2007-8 yasitokee tz mwakani.labda iwepo TUME HURU YA UCHAGUZI ndipo inaweza kutokea, ujue tu kwamba CCM huwa wanashindishwa na tume ya uchaguzi.
BELIEVE OR NOT,
Leo pangefanyika Uchaguzi wa kumshindanisha LOWASA kwa upande mmoja na CCM upande mwingine, LOWASA atapata ushindi wa KIMBUNGA!
Truth Shall Remain!
Kwahiyo unataka kumuambia nini Makonda kwenye lile tamko lao.
BELIEVE OR NOT,
Leo pangefanyika Uchaguzi wa kumshindanisha LOWASA kwa upande mmoja na CCM upande mwingine, LOWASA atapata ushindi wa KIMBUNGA!
Truth Shall Remain!
Ccm +lowasa= kifo cha chadema
Nothing like that umashuhuri wa Lowassa ni sababu ya ukimya wa Kikwete. Kikwete akitamka leo kuwa Lowassa hafai ni fisadi kesho atabaki yeye na familia yake wanao unga mkono. Support yake ni sababu watu wanajua ni swahiba wa Kikwete kwahiyo ana kinafasi kuwa mgombea ule woga wao dhidi ya Lowassa iwapo atapeta ugombea CCM lakini Lowassa si mashuhuri vile ni pesa za wizi na mtandao wao ambao umeanza kuisha nguvu
Lowasa raisi