Alisina
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 4,069
- 4,263
Hii inaitwa "Uhuru wa miguu,Mikono akili imefungwa mnyororo"Halafu Waafrika ndio wamekuwa watumwa wa dini kuliko wengine.
Hii inaitwa "Uhuru wa miguu,Mikono akili imefungwa mnyororo"Halafu Waafrika ndio wamekuwa watumwa wa dini kuliko wengine.
Kila siku wapo kanisaniHalafu Waafrika ndio wamekuwa watumwa wa dini kuliko wengine.
Ata hilo nalo huwezi kulitofautisha??Ujue kuwa na dini na kuwa na Mungu ni vituo viwili tofauti?
Watu awajui tuUjue kuwa na dini na kuwa na Mungu ni vituo viwili tofauti?
Mizimu kama yakina mzimu wa mlilo.Turudi kwenye mizimu yetu ya kale
Kwaiyo kipi bora dini ya wakoloni au mizimu ya mababu na bibi zetuMizimu kama yakina mzimu wa mlilo.
Mizimu iliyoshindwa kuwafinyanga wakoloni.
Bora ni upendo kwa watu wote.Kwaiyo kipi bora dini ya wakoloni au mizimu ya mababu na bibi zetu
Kwani upendo ni imaniBora ni upendo kwa watu wote.
Sijaongelea mambo ya ufuska ulishawai kusikia popote muislamu anataka kuoa biti wa kikristo akalazimishwa kubadili dini awe mkristoMimi ni mkristo. Nawafahamu wanawake wa kikristo wafuska kuliko ufuska wenyewe.
Pia nawafahamu wanawake wa kiislam wanaojielewa wengi tu.
Shetani atamtumia mtu yeyote awe mkristo au muislamu.
Hii ni karne ha 21, kubaguana na kutoleana maneno ya kashfa kisa dini ni upuuzi kama upuuzi mwingine!
Man up!
Alafu wewe siyo mkristo akuna mkristo wa aina yakoMimi ni mkristo. Nawafahamu wanawake wa kikristo wafuska kuliko ufuska wenyewe.
Pia nawafahamu wanawake wa kiislam wanaojielewa wengi tu.
Shetani atamtumia mtu yeyote awe mkristo au muislamu.
Hii ni karne ha 21, kubaguana na kutoleana maneno ya kashfa kisa dini ni upuuzi kama upuuzi mwingine!
Man up!
Wewe unataka imani bora..?Kwani upendo ni imani
NdioWewe unataka imani bora..?
Huwezi kulitofautisha ndio maana unahisi kuwa na dini ni kuwa na Mungu.Ata hilo nalo huwezi kulitofautisha??
Sawa,Endelea kuitafuta imani ipi ni bora.Ndio
MhhhhhhhSawa,Endelea kuitafuta imani ipi ni bora.
Muislamu blah blah, mkristo blah blah!Sijaongelea mambo ya ufuska ulishawai kusikia popote muislamu anataka kuoa biti wa kikristo akalazimishwa kubadili dini awe mkristo
Kwa sababu sina mawazo kama yako?Alafu wewe siyo mkristo akuna mkristo wa aina yako
Kwani wanawake awana tamaa za kimwiliNgastuka, wanaume acheni tamaa za kimwili, ukiwa mcha Mungu kwelikweli haya hayawezi kukukuta