Mkuu mshana jr hizi picha inabidi uzitazame kwa kuzichungulia maana ukisema uzitazame kwa direct unaweza ukapooza upande mmoja kwa mshituko...hasa ukizingatia hali ya hewa...inahamasisha matumizi ya viungo vya uzazi...
Huo mfereji unaoonekana unanihusu sana akiniwekea mwenyewe kama hivyo ndo keshanituma niushughulikie! Asante mshana jr hata uchovu wa huu mgomo wa hawa jamaa umeisha kwa picha hii! Cc Tee Bag