nenda Urusi ukaseme sheria imenitambua uone utakavypokatwa na wahuni , mseleleko sio mzurHii habari inaonekana ni mwiba kwako,imekuuma sana eeh! Kunywa maji utulie usije pata vudonda vya tumbo kwa chuki.
Hivi unaelewa hata ulichokiandika au umesukumwa na mihemko tu? Unaonekana hii thd imekuuma sana! Vumilia coz huna unachoweza kufanya,tafuna muhogo wako kisha kunywa maji ukalale.nenda Urusi ukaseme sheria imenitambua uone utakavypokatwa na wahuni , mseleleko sio mzur
adabu ya kuchinja wanadamu wenzio + kukandamiza wanawake
adabu ya kuchinja wanadamu wenzio + kukandamiza wanawake
kaangalie wasomalia wanawalalamikia alshabab hawakujua kuwa itakuww tough vile , mirungi wanaitumia kwa memories tu
Jana/juzi huko naigeria kauwawa binti kwa sababu za hovyo sanaMnachinja na kuchoma watu nan anataka dini ya hivyo?
NimekusomaBasi hawana tofauti na mtu anaebadili dini kwaajili ya kujipatia mke.
Kama nikweli Wao imebadilika kidogotu kwasababu ya kutafuta uungwaji mkono katika vita.. Just guess.
adabu ya kuchinja wanadamu wenzio + kukandamiza wanawake
Umefuata nini basi!?Nadhani hainihusu
Kumkandamiza kama nini vile? Uckimbie tu,,,adabu ya kuchinja wanadamu wenzio + kukandamiza wanawake
Kwasababu gani itafsirike upumbavu?... kumbe kuna nchi bado zilikuwa na upumbavu kama huo? Dunia ya wastaarabu ilishatoka huko miaka sana!
Jana/juzi huko naigeria kauwawa binti kwa sababu za hovyo sana
Wekezeni kwenye elimu kwanza